fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Kimakauka kama kinakula cement nawakilisha Mhe:admin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitoto = mtotoHuyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.
Junior hivyo ..... Kuna kimoja tuko nacho kwenye ghorofa moja... Hata kutembea hawezi jinsi alivyo mneneHujawahi kuona kitoto kinaitwa junior wewe
Unanifaa sana wewe!!Nililetewa mtoto wa sista nikae nae ameenda kozi ,kalikua kakojozi kameacha,kalikua hakajui hata kula kanalishwa mwenye kanakula sasa hivi tena anakula mpk wanamshangaaa,anacheza vzr na ananenepa.Mama ake haamini mtoto wa miaka 6 hajui chochote!
Kuna wazazi wanalea watoto kama hakuna kesho!!Mimi binafsi malezi ya kudekezq kizembe sinaga ,kuna Siku tumeenda kwenye sherehe kuna mtoto akawa analilia nyama jikoni wakawa wanamchekeq na wakampa..nilikaa kimya lakini nkasema moyoni angekua wangu angeimba aleluya!!!
Wewe kiumbe mtakatifu....kulikoni?Kina junya hao,,
Halafu. Nini kitatokea?. Vitoto vingine vinalelewa vibaya sana. Kimojawapo ni hicho. Naamini hata wewe una malezi hayo ya digtal. Mtoto miaka 6 anajikojoleaUsimnenee mtoto wa mtu hivyo.
Duh!!Mimi nilivyo strict namuonea huruma mwanangu ambaye niko kumtafuta mwezi huu
Niko G, mi silei mtoto kimayai mayaiWewe kiumbe mtakatifu....kulikoni?
Nafurahi kukuonaNiko G, mi silei mtoto kimayai mayai
[emoji23][emoji2][emoji2]nikupe mdogo wangu mi nimewahiwa!!huyo hajazaa lakini watoto ana wapenda mnoo ila hajui kudekeza hana malezi ya kijunior junia[emoji1][emoji1][emoji28]!!!Unanifaa sana wewe!!
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi nilivyo strict namuonea huruma mwanangu ambaye niko kumtafuta mwezi huu
Ulifanyaje tupeane maujuzi....mitoto ya siku hizi kichomi sanaMzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.
Pumbavu, dogo siku moja kanitunishia misuli kama vile anataka kupigana na mimi. Nilichofanya nilimpa wiki kama tatu hivi namsoma tu taratibu. Mama yake anamuogopa dogo plus aibu. Yaani dogo alikuwa ni kufoka tu, hasikilizi chochote. Mtoto wa kiume mama miaka sita eti mama anambeba kama wa mwaka mmoja.
Nilipoanza kazi, alisoma namba. Nilijisemea eti namkaza mama yake alafu anitunishie misuli. Daadeki, leo akisikia nimekohoa anakimbia tu. Single mothers wanaharibu watoto sana.
Siku hizi dogo anajielewa freshi kweli. Ni baada ya mimi kusimamia show kama mwanaume. Ila ajabu sikuwahi kumchapa hata siku moja.
Mimi nimesoma lugha. Na hakuna neno hata moja nililokosea. Kile kitoto.Hata kama umekwazika bado unatakiwa kuulinda utu wa mtu na heshima yake, sio "kile kitoto" ni "yule mtoto". Mtoto bado ni mtu na kuwa mtundu au kukosa adabu hakumuondolei heshima ya utu wake
Mkuu haya matukio ya hivi yapo karibu kila nyumba, kila mtu akiyaleta humu asijui patakuwaje. Hongera kwa kuwajibika kuwapa nidhamu watoto wenu na ndio jukumu lako kama mtu mzima, usilalamike pambana.