Iv n kwann lkn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nlikua nawaza nmuite dogo Jr lkn hapana IseeHujawahi kuona kitoto kinaitwa junior wewe
Mungu akubariki kwa kusimama kama babaMzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.
Sasa unalalamika nini, nenda kamshitaki polisi ili afungwe kwa kuvunja vitu vyako na kukuchafulia nyumba.Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.
Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba
Hujawahi kuona kitoto kinaitwa junior wewe
Wa kiume au wa kikeHuyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.
Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote,kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.
Hongera zako mkuu kwa kumpa malezi bora,inaonekana dogo alikuwa amepinda Kweli kweliMzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.
Pumbavu, dogo siku moja kanitunishia misuli kama vile anataka kupigana na mimi. Nilichofanya nilimpa wiki kama tatu hivi namsoma tu taratibu. Mama yake anamuogopa dogo plus aibu. Yaani dogo alikuwa ni kufoka tu, hasikilizi chochote. Mtoto wa kiume mama miaka sita eti mama anambeba kama wa mwaka mmoja.
Nilipoanza kazi, alisoma namba. Nilijisemea eti namkaza mama yake alafu anitunishie misuli. Daadeki, leo akisikia nimekohoa anakimbia tu. Single mothers wanaharibu watoto sana.
Siku hizi dogo anajielewa freshi kweli. Ni baada ya mimi kusimamia show kama mwanaume. Ila ajabu sikuwahi kumchapa hata siku moja.
Kweli kbsa mkuu, watoto wa kuitwa Junior wanakuwaga wanunda hatarii sijui kwaniniHuyu ni aina ya kina "junya"(junior)
wana taabu sana
Daahhh!!anaanzaje kunitemea mate aseehh!!!hayo maujinga yamepitiliza sasa!!Ila Hawa watoto malezi yetu yanawaharibu Mie kuna sehemu nilienda mtoto miaka 4-5 yule acha anitemee mate daaah nilikafinya kakapiga yowe sema kalikuwa na mwenzie mamake alipo uliza yule mtoto akajibu amemtemea mate mgeni
Ila nilitamani nikae nako masaa 2 ma 3 nakafinya maana dharau za kutemewa mate sio powa
Hongera zako mkuu kwa kumpa malezi bora,inaonekana dogo alikuwa amepinda Kweli kweli
Nimependa ulivyo simama km baba yake saafi sana na utalipwa fungu lakoMzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.
Pumbavu, dogo siku moja kanitunishia misuli kama vile anataka kupigana na mimi. Nilichofanya nilimpa wiki kama tatu hivi namsoma tu taratibu. Mama yake anamuogopa dogo plus aibu. Yaani dogo alikuwa ni kufoka tu, hasikilizi chochote. Mtoto wa kiume mama miaka sita eti mama anambeba kama wa mwaka mmoja.
Nilipoanza kazi, alisoma namba. Nilijisemea eti namkaza mama yake alafu anitunishie misuli. Daadeki, leo akisikia nimekohoa anakimbia tu. Single mothers wanaharibu watoto sana.
Siku hizi dogo anajielewa freshi kweli. Ni baada ya mimi kusimamia show kama mwanaume. Ila ajabu sikuwahi kumchapa hata siku moja.
Naona alilala darasani.Huoni kuwa hiyo ni staili ya uandishi tu?
Wanavyofundisha fasihi, ulisinzia?
Napenda mno mwanangu awe hivi, kitu usichopenda uzungumze mara moja tu basi.Nina mtoto wangu wa kiume ana miaka 3 sasa, anajua kila kitu, ukichukia anajua, kama hutaki afanye kitu fulani anajua, na ana limits zote, ninampenda ila pia namuadibisha hadi amekuwa na adabu. penye haki yake anaelewa na anamind, ila pale anapoharibu nikisema aache anachosumbua huwa siongei sauti mbili, mwenyewe utakuta ameacha na kutulia. kulea mtoto kama mjinga ni kumharibu tu.