Nimempiga mwizi mapanga mawili ya kichwa, akifa Mungu nisamehe

Njoo Uvira,uchukue pesa dhahabu nyingi mno ukiweza kupiga gendo moja acha migodini
 
Kuuwa sio powa ila hao jamaa wanatafuta vifo kwa nguvu [emoji706]
Mkuu kuuwa kuna madaraja yake.

Siyo kila mtu anayeuwa ana makosa hapana, mauaji mengine huwa siyo makosa kisheria na kiimani, yanaitwa mauwaji ya heshima.

Mleta mada ni kama kauwa mbwa tu, hakuna cha kesi wala dhambi hapo.

Tena katuwakilisha tuliochoshwa na visanga vya wezi na majambazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah....
 
😹😹
 
Aisee
 
usisahau kuleta mrejesho ashukuriwe Mungu hajakupiga na hiyo nondo
 
Mi natafuta mmoja wa kumuuwa Yan nikikikutana nae ntamuuwa kikatili sana iwe fundisho kwa waiz wote wanaonirudisha nyuma
 
Imenifurahisha[emoji1787][emoji1787]
 
good
 
Hahahahaa hawa washenzi akijaa kwenye kumi na nane unammanua kimya kimya kama ulivyofanya ndio dawa yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…