Nimempima UKIMWI nikakuta anao

Nimempima UKIMWI nikakuta anao

sure ulifanya vyema.

hii kitu sio ya mchezo japo kama imezoeleka sana siku hizi

Ni agenda ya wazungu hii.

Back then kulikuwa na kampeni nyingi sana redioni na kwenye TVs za kupambana na HIV, njia za kujikinga na kuepuka kuambukizwa zikiwa zinatajwa mara kwa mara. There was positive responses na maambukizi yalianza kupungua.

Jamaa kuona hivyo upepo ukabadilika, ikawa sasa ni kampeni za kuto nyanyapaana, kampeni za kujifunza kuishi na virusi, kampeni za kwamba HIV siyo mwisho wa maisha etc etc.

Why this? Ni kwa sababu ikitokea tukawa free of these deseases, tutapunguza dependence kwao, imagine wanatoa a lot of money ku-finance HIV kupitia mashirika kama USAID, Danida, DFiD nk nk, unadhani wanafanya bure? Kuna namna wanafaidika, na watataka tuendelee kuwategemea, hivyo wamefanya kutuzoesha kwamba huu ni ugonjwa wa kawaida.
 
Ni agenda ya wazungu hii.

Back then kulikuwa na kampeni nyingi sana redioni na kwenye TVs za kupambana na HIV, njia za kujikinga na kuepuka kuambukizwa zikiwa zinatajwa mara kwa mara. There was positive responses na maambukizi yalianza kupungua.

Jamaa kuona hivyo upepo ukabadilika, ikawa sasa ni kampeni za kuto nyanyapaana, kampeni za kujifunza kuishi na virusi, kampeni za kwamba HIV siyo mwisho wa maisha etc etc.

Why this? Ni kwa sababu ikitokea tukawa free of these deseases, tutapunguza dependence kwao, imagine wanatoa a lot of money ku-finance HIV kupitia mashirika kama USAID, Danida, DFiD nk nk, unadhani wanafanya bure? Kuna namna wanafaidika, na watataka tuendelee kuwategemea, hivyo wamefanya kutuzoesha kwamba huu ni ugonjwa wa kawaida.
Hakika agenda yao ni kubwa na ubaya uliopo kwa sasa watu tumesahau kabisa kama kuna ukimwi,, tumeona ni jambo la kawaida na hapo vizazi vijavyo vitakuwa katika wakati mgumu sana kwani hata sasa hakuna anaetangaza kuwa ukimwi ni janga la Taifa. Tumekita kwenye Corona na mambo mengine na tukajisahau.

Ushauri wangu Taifa lingekuwa linaweka kipindi maalumu cha kuelimisha kuhusu hili kwenye redio na tv ya Taifa
 
Ushauri wangu Taifa lingekuwa linaweka kipindi maalumu cha kuelimisha kuhusu hili kwenye redio na tv ya Taifa

PSI ndo NGO inayojihusisha na swala la uelimishaji kuhusu ukimwi.

Lakini sasa ni kama hawatakiwi kutangaza kujikinga na ukimwi bali wanatangaza jinsi ya kuishi nao.

Na hawa jamaa kwa kushirikiana na JHPiego (nao ni USAID funded) ndo wasambazaji wa sindano kwa mateja, vilainishi kwa mashoga nk, you can just see what they are aiming at.
 
PSI ndo NGO inayojihusisha na swala la uelimishaji kuhusu ukimwi.

Lakini sasa ni kama hawatakiwi kutangaza kujikinga na ukimwi bali wanatangaza jinsi ya kuishi nao.

Na hawa jamaa kwa kushirikiana na JHPiego (nao ni USAID funded) ndo wasambazaji wa sindano kwa mateja, vilainishi kwa mashoga nk, you can just see what they are aiming at.
Huuuh we are doomed.

OMG
 
Hao wadudu wengi wameungua ni bora kula wale wauza K wale kidogo wazima maana hawaliwi peku hata siku moja hao take away ni shida sana mdau, sema kwakua we mla peku kazi wako watu wanakula na ndomu awe nani awaye yote ndomu tu
 
Kwani ulimpima baada ya kukwambia ‘daktari nipime nijue status yangu’

Au ulimpima kwa ajili ya usalama wako.

Maana nachoona hapa unataka kujipa kazi ya udaktari.
 
Back
Top Bottom