Nimempima UKIMWI nikakuta anao

Nimempima UKIMWI nikakuta anao

Sasa kama unaogopa ngoma hivyo, kwa nini unaendekeza kunjunjana?
 
Habari za Muda Huu Waungwana,

Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.
Hakuhitajiki na masururu wa uliofanya nao ngono Bali ni kukutana na mtu mwenye Vvu na unasema unataka kumkomoa.Mshahara wa dhambi ni mauti
 
Usimpe majibu,maana kama itatokea akajidhuru sheria inakubana moja kwa moja utaozea jela..huruhusiwi kumpima mtu kabla ya kumpa ushauri nasaha na kabla ya kumpa majibu lazima whether ameathirika au ni mzima ni lazima umpe ushauri pia
 
Habari za Muda Huu Waungwana,

Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.

Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.

Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.

Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.

Anafanya kazi katika bar ya mtaani.

Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.

Je, nifanyeje?
Mshahara wa dhambi ni mauti....
 
Habari za Muda Huu Waungwana,

Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.

Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.

Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.

Anafanya kazi katika bar ya mtaani.

Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.

Je, nifanyeje?
RIP
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31] mkuu mwenzio nmeanza PEP Leo
Jana nmejichanganya sehemu moja hiyo na yeye kasema aliwah kupima hivyo hivyo ila nmeona hapaaanaa
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31] mkuu mwenzio nmeanza PEP Leo
Jana nmejichanganya sehemu moja hiyo na yeye kasema aliwah kupima hivyo hivyo ila nmeona hapaaanaa
Vipi Naskia ukinywa hizo unaota ndoto Za ajabu ajabu ni kweli ?
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31] mkuu mwenzio nmeanza PEP Leo
Jana nmejichanganya sehemu moja hiyo na yeye kasema aliwah kupima hivyo hivyo ila nmeona hapaaanaa

Hahha polee, ulipiga dry au
 
Back
Top Bottom