Nimempima UKIMWI nikakuta anao

Nimempima UKIMWI nikakuta anao

Kwahyo mzigo ulikula au vp na je kama hukula hakukuuliza kwamba why umpime halafu usilambe mbususu?
 
Huyo anajijua kabisa ana ngoma ndio maana alikataa ndom alitaka akuambukize Mungu wako mkubwa hujakurupuka wengine wakiambiwa nimepima juzi anaamini na kupita kavu.
 
Kwahyo mzigo ulikula au vp na je kama hukula hakukuuliza kwamba why umpime halafu usilambe mbususu?

Sikula mzgo nlimwambiaa nmelewa sanaa tutafanya asubuh, nikamkumbatiaaa akalala kifuani mpaka asubuh...ilivofika asbh tukawa tumechelewa kuamkaa akasema anawah kazn atarud badae
 
Kabla sijatoa maoni yangu ningependa kumuuliza mleta mada kuwa ana utaalamu wowote wa hicho alichokifanya au ametumia uzoefu tu......???

Hv vipimo nlinunua box zima kwa nesi, akanielekeza jinsi ya kupima, mbali na apo sina uzoefu mwingine
 
Kiongozii, Alipima akijiamini na alitakaa mm nimuamini, hakuwa anataka kujua majibu yake, yy anasema alipima wiki mbili zilizopita so alitaka mm niamini na mm nlivompimaa sikuonesha mshangao wwte nikmwambia uko sawaa ndomana hajahojii
Bado angeshtuka tu maana hukuendelea na zoezi la kumgegeda. Lengo la kupima ilikuwa ufanye peku sasa na wewe ulisitisha mgegedo ndio hapo machale yangemcheza kulikoni huyu mtu hanifanyi chochote baada ya vipimo.
 
Habari za Muda Huu Waungwana,

Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.

Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.

Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.

Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.

Anafanya kazi katika bar ya mtaani.

Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.

Je, nifanyeje?
wewe vyako vinasomaje? umejichecki mara ngapi?
ukimwambia anaweza akakustaki kwa sababu wewe siyo daktari.atakugeuzia maneno atapata hela.maana utakuhisi utamdhalilisha kiasi atakosa mawindo ya mtaani kwenu
 
Hv vipimo nlinunua box zima kwa nesi, akanielekeza jinsi ya kupima, mbali na apo sina uzoefu mwingine
Hivi vipimo wala haviuzwi mtaani wala Hospitali. Vimeandikwa 'Not for sale'. Huyo Nesi labda angekupa vipimo viwili tena bure, kisha akupe maelekezo yakutosha. Sasa amekuuzia Box zima ni dhahiri wenye majukumu yao wakisoma huu ushahidi wako watakutafuta ili wewe na huyo Nesi muingie matatani.
 
Habari za Muda Huu Waungwana,

Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.

Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.

Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.

Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.

Anafanya kazi katika bar ya mtaani.

Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.

Je, nifanyeje?
2.5872131265648133E18.jpg
 
Habari za Muda Huu Waungwana,

Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.

Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.

Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.

Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.

Anafanya kazi katika bar ya mtaani.

Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.

Je, nifanyeje?
Nakushauri mchukuane wote mwende mkapime tena hospital

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuna upotoshaji mkubwa kwenye hii story mkubwa mnoo kuna vingi ameficha nilipitia hii hali hata mimi ya demu mwenye changamoto hiyo ila alikua nao ila alikua anatumia dawa mda mrefu sasa doctor wake anapochukua dawa alimwambia unaweza fanya sex na mtu usimuambukize cha muhimu usichubuke kwa kujiandaa vyema nilipita nae kavu baada ya mtu kunitonya kua hebu mpime nilipompima akawa positive ndo kusema ukweli nilijua na mimi nimeshaukwaa ila Mungu ni mwema nilipima mara tatu hakuna kitu nipo negative nilichokuja kujifunza ukimwi unapatika kana kwa michubuko mpaka blood transfusion iwepo. Na ile michezo ya kumkomoa mwanamke sijui upige mbususu mpaka itoe moto ndo safari ya ukimwi unaipata
 
Sikula mzgo nlimwambiaa nmelewa sanaa tutafanya asubuh, nikamkumbatiaaa akalala kifuani mpaka asubuh...ilivofika asbh tukawa tumechelewa kuamkaa akasema anawah kazn atarud badae
Labda kama hana utimamu wa akili kichwani, yaani umpime mtu kwa lengo la kumpandisha mlima halafu uzidiwe na pombe, kisha asubuhi umshiti halafu jioni hukumtafuta,
 
Back
Top Bottom