Genius...
una akili mingi sana..good advice
Thank you all for compliment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genius...
una akili mingi sana..good advice
Hakuhitajiki na masururu wa uliofanya nao ngono Bali ni kukutana na mtu mwenye Vvu na unasema unataka kumkomoa.Mshahara wa dhambi ni mautiHabari za Muda Huu Waungwana,
Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.
Usikute hayo ni majibu yako...
Sasa kama unaogopa ngoma hivyo, kwa nini unaendekeza kunjunjana?
Mshahara wa dhambi ni mauti....Habari za Muda Huu Waungwana,
Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.
Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.
Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.
Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.
Anafanya kazi katika bar ya mtaani.
Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.
Je, nifanyeje?
Amua kuokoka na kuacha dhambi oa mke wako weka ndani
Hiyo Dp Yako mkuu?kama vipi tupime kabisaMshahara wa dhambi ni mauti....
Na amna mtu mrahisi kukuletea UKIMWI kama mke unayemuamini.Mke hazuiii UKIMWI ila anapunguza probability ya kupata UKIMWI
RIPHabari za Muda Huu Waungwana,
Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.
Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.
Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.
Anafanya kazi katika bar ya mtaani.
Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.
Je, nifanyeje?
Vipi Naskia ukinywa hizo unaota ndoto Za ajabu ajabu ni kweli ?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31] mkuu mwenzio nmeanza PEP Leo
Jana nmejichanganya sehemu moja hiyo na yeye kasema aliwah kupima hivyo hivyo ila nmeona hapaaanaa
Vipi Naskia ukinywa hizo unaota ndoto Za ajabu ajabu ni kweli ?
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31] mkuu mwenzio nmeanza PEP Leo
Jana nmejichanganya sehemu moja hiyo na yeye kasema aliwah kupima hivyo hivyo ila nmeona hapaaanaa
hahha polee, ulipiga dry au
Ili aendelee kusambazia wengine? Huoni hiyo ni hatariThat is so tough, kama vipi mkaushie, usimweleze wala usieleze mtu yeyote anayemfahamu.
Ili aendelee kusambazia wengine? Huoni hiyo ni hatari