Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Mimi sijasoma kontenti nimeishia tu kwenye title nakujiaemea nhiiiiiiiiiiiiiiiiiihhhh!!!!!
Samari;
-alikuwa na mpenzi mcha Mungu hivyo alimwamini sana
-alimtunza kwa kila hali yeye na bibi yake
-kuna siku akapata safari kwende Bukoba kuokoa wahanga wa tetemeko


-Akiwa kule akapokea txt toka kwa shem yake yaani rafiki wa mchumba kuwa achana na huyu dada anakucheat kila mara na rafiki yako na muda huu wako lodge

-jamaa akakumbuka asubuhi aliombwa pesa kuwa binti mgonjwa anaenda cheki afya na alimpa 50k.
-ili kujirishisha alipiga simu papo hapo haikupokelewa mara ikazimwa kabisa.

- kwa ushahidi zaidi akarushiwa chat zao za mahaba..
--Jamaa aliporudi hakumtafuta mchumba wala rafiki yake wa kiume wanayepeana utamu.

Akabadili nyumba ya kupanga na simu wakapotezana mazima.
- huku wao mahaba ndindi mara mimba...binti hakuolewa bali jamaa akaoa mwingine.

ALICHOFANYA mleta uzi alimtafuta mke wa jamaa kupitia fb..akawa anampa visenti mwishowe akamla.

*****jamaa ndipo aliposamehe alichofanyiwa na rafiki yake...lkn binti kachoka kachakaa..


Toa komenti sasa[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Samari;
-alikuwa na mpenzi mcha Mungu hivyo alimwamini sana
-alimtunza kwa kila hali yeye na bibi yake
-kuna siku akapata safari kwende Bukoba kuokoa wahanga wa tetemeko


-Akiwa kule akapokea txt toka kwa shem yake yaani rafiki wa mchumba kuwa achana na huyu dada anakucheat kila mara na rafiki yako na muda huu wako lodge

-jamaa akakumbuka asubuhi aliombwa pesa kuwa binti mgonjwa anaenda cheki afya na alimpa 50k.
-ili kujirishisha alipiga simu papo hapo haikupokelewa mara ikazimwa kabisa.

- kwa ushahidi zaidi akarushiwa chat zao za mahaba..
--Jamaa aliporudi hakumtafuta mchumba wala rafiki yake wa kiume wanayepeana utamu.

Akabadili nyumba ya kupanga na simu wakapotezana mazima.
- huku wao mahaba ndindi mara mimba...binti hakuolewa bali jamaa akaoa mwingine.

ALICHOFANYA mleta uzi alimtafuta mke wa jamaa kupitia fb..akawa anampa visenti mwishowe akamla.

*****jamaa ndipo aliposamehe alichofanyiwa na rafiki yake...lkn binti kachoka kachakaa..


Toa komenti sasa
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
Huo ukorofi ujue hihihihihihi.. Kwamba jamaa akaoa Mwingine mamaeeeee... Ntarudi kusoma vizuri
Samari;
-alikuwa na mpenzi mcha Mungu hivyo alimwamini sana
-alimtunza kwa kila hali yeye na bibi yake
-kuna siku akapata safari kwende Bukoba kuokoa wahanga wa tetemeko


-Akiwa kule akapokea txt toka kwa shem yake yaani rafiki wa mchumba kuwa achana na huyu dada anakucheat kila mara na rafiki yako na muda huu wako lodge

-jamaa akakumbuka asubuhi aliombwa pesa kuwa binti mgonjwa anaenda cheki afya na alimpa 50k.
-ili kujirishisha alipiga simu papo hapo haikupokelewa mara ikazimwa kabisa.

- kwa ushahidi zaidi akarushiwa chat zao za mahaba..
--Jamaa aliporudi hakumtafuta mchumba wala rafiki yake wa kiume wanayepeana utamu.

Akabadili nyumba ya kupanga na simu wakapotezana mazima.
- huku wao mahaba ndindi mara mimba...binti hakuolewa bali jamaa akaoa mwingine.

ALICHOFANYA mleta uzi alimtafuta mke wa jamaa kupitia fb..akawa anampa visenti mwishowe akamla.

*****jamaa ndipo aliposamehe alichofanyiwa na rafiki yake...lkn binti kachoka kachakaa..


Toa komenti sasa[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Katika maisha yangu kuna Dada nilitokea kumpenda sana. Wahenga waliyonena mapenzi ni kama upofu, hakika hawakukosea. Niliamini huyu ndiye atakayekuja kuwa mke na mama bora wa watoto wangu hapo baadae panapo uzima.

Kama mwanaume nafasi yangu kwake niliitendendea haki kiukweli, kuanzia mambo ya chumbani, pesa ya kujikimu yeye binafsi na bibi yake pia aliyekuwa anamlea na kuishi nae, kiufupi nilikuwa na wahadumia wote wawili yeye pamoja na mlezi wake. Pamoja nakumtafutia kijikazi kidogo sehemu flani lakini sikuwahi kuacha kumpatia vijizawadi kadhaa na extra money yayeye mwenyewe kujikumu.

Nilikuwa nayafanya yote haya kwaajili ya mapenzi kumonesha kwamba ninajali na ninatambua thamani yake. Kipindi chote hicho nilichokuwa nae sikuwahi kumhisi ama kumdhania kama anaweza kunisaliti maana mwenyewe kwanza alikuwa na hofu na Mungu na pia ni mtu wa kusali sali.

Basi bwana mwaka 2016 mwezi 9 nilipata dharura nikawa nimesafiri kuelekea mkoani Kagera kwa ajili ya kazi ya maafa ya tetemeko la ardhi lililokuwa limetokea mwaka huo. Nilipokuwa kagera siku mmoja nikipata SMS toka kwa dada mmoja rafiki yake mpezi wangu shem achana na atakukuja kukupatia magonjwa bure huwa anatoka kisiri siri na fulani akamtaja jina uyo mtu na mda huu navyoongea hapa yupo hotel flani na uyo bwana ake ilikuwa ni mida ya saa saba na nikakumbuka asubuhi mida ya saa 4 nilitoka mtumia sh 50 elfu huyo aliyekuwa mpenzi wangu alikuwa anadai anajisikia vibaya anataka kwenda hospital.

Basi bana baada ya kupata taarifa ile nikapiga simu ya aliyekuwa mpenzi wangu ikawa inaita pasipo kujibiwa na baadae ikawa haipatikani kabisa, kiukweli siku iyo nilishindwa Fanya activities zangu, na huyo jamaa niliye ambiwa aliekuwa nae ni rafiki tuliyokuwa tumeshibana kama ndugu aise na alikuwa anajua kwamba yule ni shemeji yake na hata yule mpenzi wangu alikuwa anajua jamaa ni rafiki yangu kindaki ndaki lakini wao wakaamua wanizunguke na kuenda gusishana vikojoleo vyao.

Kiukweli pitia shoga wa aliyekuwa rafiki wa mpezi wangu nilipata ushahidi wa screan shots wa baadhi ya chat na picha za mahaba walizokuwa pamoja mpenz wangu na huyo rafiki yangu. Maumivu ya kugongewa na kusalitwa na hasa na watu wako wa karibu ni makali sana.

Mi nilivyorudi dar es saalam wala sikuwauliza kitu kikubwa nilichofanya nilibadilisha makazi na line zangu za simu pia nikaenda ishi mitaa ya mbali kidogo ili kupunguza mawasiliano na wao mwezi wa 3 2017 nikaja sikia binti ni mjamzito alipewa na huyo rafiki yangu but penzi lao halikudumu binti ameachwa na mtoto mmoja mdogo.

Hivi juzi juzi miezi kama miez kama 5 iliyopita nikipata taarifa jamaa yule rafiki yangu kaoa ndoa ya kidini kabisa, japokuwa sikuhizi me naye hatuna kabisa mawasiliano hata harusi yake iyo sikuweza hudhuria, sasa nikajiapiza lazima nilipize kisasi. Basi bana nikaanza tafuta jina la mke wa mshikaji fb na insta mungu si Athuman nikalipata kule fb nikamuad messenger kama kawaida nikaanza kuimba nae,mungu alininyima moyo wa ubahiri aise lakini kama nakitaka kitu swala la kuhonga ili mtu nimuingize kwenye killing zone yang sio shida, basi nakumbuka yule bint aliniomba 70 elf Mara ya kwanza nikajitutumua nikamrushia basi akawa navijitabia vya kuomba vijihela vidogo vidogo Mara kwa mara nahisi alikuwa anadhani atanikimbiza kwa ajili ya vile vibomu.kuelekea krismas aliniambia kuna sehemu anadaiwa mambo ya vijikoba wenzake watashindwa gawana pesa maana n muda wa kukivunja kikoba, nikamwambia haina shida we njoo napokaa ntakupatia, siku zote izo alivyokuwa akini bom alikuwa ananikwepa kwepa kuonana na mimi na hisi kwenye hili alitingwa kweli akawa hana jinsi.


Siku ya siku mtoto alifika napokaa basi akaamua kunitunuku, kiukweli bibie alikuwa ana hamasisha haswa na kajaliwa nyama nyama kama za dada mmoja mnae msifiaga sana humu anayepatikana kule chimwaga Dodoma licha ya pesa niliamua lazima nihikikishe namkuna kisawa sawa raha ya tendo hili mlifurahie wote wawili baada ya mkewe kunichukua na kunipeleka sayar ya ulimwengu mwingine nikaamua nami kutoka moyoni kuanzia siku iyo kumsamehe kwa dhati kabisa yule rafiki yangu, adi leo navyoandika thread hii kama nawe huwa unapita pita humu jf kama Mimi juwa nimekusamehe classmete wangu kuwa na amani tu.
Pumbavu
 
Mkuu huruma alikuwa nayo alipombato mchumba wako?inafikia muda kutolipiza ubaya wa makusudi ni usaliti!mtumie picha za mkewe na screen shots afu muulize nlichokuambia!Huruma ilimponza panzi!
 
Yaani hapo mtoa mada imekula kwako. Wenzako walikulana kwa raha zao ila wewe unamkula mke wa classmate wako ili kulipa kisasi sio kwa raha. Kisasi siku zote umuumiza mtu anayekitunza kuliko mtendewa wa kisasi. Pole sana kwa unayoyafanya unaumia wewe tu
 
Katika maisha yangu kuna Dada nilitokea kumpenda sana. Wahenga waliyonena mapenzi ni kama upofu, hakika hawakukosea. Niliamini huyu ndiye atakayekuja kuwa mke na mama bora wa watoto wangu hapo baadae panapo uzima.

Kama mwanaume nafasi yangu kwake niliitendendea haki kiukweli, kuanzia mambo ya chumbani, pesa ya kujikimu yeye binafsi na bibi yake pia aliyekuwa anamlea na kuishi nae, kiufupi nilikuwa na wahadumia wote wawili yeye pamoja na mlezi wake. Pamoja nakumtafutia kijikazi kidogo sehemu flani lakini sikuwahi kuacha kumpatia vijizawadi kadhaa na extra money yayeye mwenyewe kujikumu.

Nilikuwa nayafanya yote haya kwaajili ya mapenzi kumonesha kwamba ninajali na ninatambua thamani yake. Kipindi chote hicho nilichokuwa nae sikuwahi kumhisi ama kumdhania kama anaweza kunisaliti maana mwenyewe kwanza alikuwa na hofu na Mungu na pia ni mtu wa kusali sali.

Basi bwana mwaka 2016 mwezi 9 nilipata dharura nikawa nimesafiri kuelekea mkoani Kagera kwa ajili ya kazi ya maafa ya tetemeko la ardhi lililokuwa limetokea mwaka huo. Nilipokuwa kagera siku mmoja nikipata SMS toka kwa dada mmoja rafiki yake mpezi wangu shem achana na atakukuja kukupatia magonjwa bure huwa anatoka kisiri siri na fulani akamtaja jina uyo mtu na mda huu navyoongea hapa yupo hotel flani na uyo bwana ake ilikuwa ni mida ya saa saba na nikakumbuka asubuhi mida ya saa 4 nilitoka mtumia sh 50 elfu huyo aliyekuwa mpenzi wangu alikuwa anadai anajisikia vibaya anataka kwenda hospital.

Basi bana baada ya kupata taarifa ile nikapiga simu ya aliyekuwa mpenzi wangu ikawa inaita pasipo kujibiwa na baadae ikawa haipatikani kabisa, kiukweli siku iyo nilishindwa Fanya activities zangu, na huyo jamaa niliye ambiwa aliekuwa nae ni rafiki tuliyokuwa tumeshibana kama ndugu aise na alikuwa anajua kwamba yule ni shemeji yake na hata yule mpenzi wangu alikuwa anajua jamaa ni rafiki yangu kindaki ndaki lakini wao wakaamua wanizunguke na kuenda gusishana vikojoleo vyao.

Kiukweli pitia shoga wa aliyekuwa rafiki wa mpezi wangu nilipata ushahidi wa screan shots wa baadhi ya chat na picha za mahaba walizokuwa pamoja mpenz wangu na huyo rafiki yangu. Maumivu ya kugongewa na kusalitwa na hasa na watu wako wa karibu ni makali sana.

Mi nilivyorudi dar es saalam wala sikuwauliza kitu kikubwa nilichofanya nilibadilisha makazi na line zangu za simu pia nikaenda ishi mitaa ya mbali kidogo ili kupunguza mawasiliano na wao mwezi wa 3 2017 nikaja sikia binti ni mjamzito alipewa na huyo rafiki yangu but penzi lao halikudumu binti ameachwa na mtoto mmoja mdogo.

Hivi juzi juzi miezi kama miez kama 5 iliyopita nikipata taarifa jamaa yule rafiki yangu kaoa ndoa ya kidini kabisa, japokuwa sikuhizi me naye hatuna kabisa mawasiliano hata harusi yake iyo sikuweza hudhuria, sasa nikajiapiza lazima nilipize kisasi. Basi bana nikaanza tafuta jina la mke wa mshikaji fb na insta mungu si Athuman nikalipata kule fb nikamuad messenger kama kawaida nikaanza kuimba nae,mungu alininyima moyo wa ubahiri aise lakini kama nakitaka kitu swala la kuhonga ili mtu nimuingize kwenye killing zone yang sio shida, basi nakumbuka yule bint aliniomba 70 elf Mara ya kwanza nikajitutumua nikamrushia basi akawa navijitabia vya kuomba vijihela vidogo vidogo Mara kwa mara nahisi alikuwa anadhani atanikimbiza kwa ajili ya vile vibomu.kuelekea krismas aliniambia kuna sehemu anadaiwa mambo ya vijikoba wenzake watashindwa gawana pesa maana n muda wa kukivunja kikoba, nikamwambia haina shida we njoo napokaa ntakupatia, siku zote izo alivyokuwa akini bom alikuwa ananikwepa kwepa kuonana na mimi na hisi kwenye hili alitingwa kweli akawa hana jinsi.


Siku ya siku mtoto alifika napokaa basi akaamua kunitunuku, kiukweli bibie alikuwa ana hamasisha haswa na kajaliwa nyama nyama kama za dada mmoja mnae msifiaga sana humu anayepatikana kule chimwaga Dodoma licha ya pesa niliamua lazima nihikikishe namkuna kisawa sawa raha ya tendo hili mlifurahie wote wawili baada ya mkewe kunichukua na kunipeleka sayar ya ulimwengu mwingine nikaamua nami kutoka moyoni kuanzia siku iyo kumsamehe kwa dhati kabisa yule rafiki yangu, adi leo navyoandika thread hii kama nawe huwa unapita pita humu jf kama Mimi juwa nimekusamehe classmete wangu kuwa na amani tu.
Sasa ili msamah uende vizuri hakikisha anajua
 
Back
Top Bottom