litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
- Thread starter
- #21
Hahaha to yeye mkorofi mnoNakijua kiingereza sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha to yeye mkorofi mnoNakijua kiingereza sasa?
Sorry in advanceKama akili ya mkufunzi ndio hii I'm very sorry kwa hao wanafunzi
😂😂😂nimeshindwa mkuuHahaha to yeye mkorofi mno
Kwani Mwamposa na Gwajiboy ni matapeli?kama uliweza kuongea sauti 7 kwa wakati moja basi wewe hapo hapakufai umtafute mwamposa au gwaji-boy ujiunge na team work yake mtapiga hela
Upo dar tuonane?[emoji23][emoji23][emoji23]nimeshindwa mkuu
Mkuu how sure are you kuwa its a notice?Lipia tangazo lako
😂😂😂😂kimeshanigeuka😋Upo dar tuonane?
Niambie basi bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kimeshanigeuka[emoji39]
Wazee wa mission town waleKwani Mwamposa na Gwajiboy ni matapeli?
Mbona umeweka suala hili kimafumbo sana, unamaanisha nini haswa tukusaidie boss?Habarini natumai mu wazima vijana wenzangu kwa wazee... mimi ni mkufunzi katika chuo fulani kikubwa hapa Dar es Salaam,
Kwa watu waleee wa teleportation astral na vikolombwezo vingine, natumai mmenielewa hapa
Nilikuwa ofisini ni asubuhi tu muda huu huu kama dk 50 tu zilizopita, alinifuata kuhusu suala lake la course work
Nikamuelekeza safi tu, sasa akawa anauliza maswali ambayo kwa umri na level yake ya elimu aliyofikia, ni ya kipumbavu ninaweza kuyaita hivyo.
Hivyo nikakasirika na bila kutambua nikawa naongea sauti 7 kwa wakati mmoja... alitetemeka mno yule dogo, uzuri ni kwmba nilishtuka mapema nikapunguza munkari... ilikuwa ni kitendo cha kama sec 10+ hivi
Nashindwa kuelewa alishtuka kwa mimi kufoka wakati hakuzoea kuniona kwenye hali ile,au alishtuka kwa kuwa niliongea kwa sauto saba pasipo kujua?
Nimepata hofu mno,nimejaribu kumzuga zuga huyu dogo na naona muelekeo ni mzuri
Kwa changamoto ya namna hii naitatuaje hasa ikitokea kwenye kituo cha kazi? Na ukizingatia kazi yenyewe inahusisha watu wengi eneo moja yaani wahadhiri na wanafunzi?
Nalikabili vipi hil endapo likiwa kubwa?
Nimeolewa juzi Mkuu,kuonana onana na malecturers not goodNiambie basi bhana
Mkuu chunga ulimi wako, una uhakika lakini?Wazee wa mission town wale
Kama ulivyosoma tu mkuu, hakuna fumboMbona umeweka suala hili kimafumbo sana, unamaanisha nini haswa tukusaidie boss?
[emoji34][emoji34][emoji34] kwa hiyo wewe unajua kuna kuonana kwa aina ngapi?Nimeolewa juzi Mkuu,kuonana onana na malecturers not good
Si ndo huko kwa Mimi na wewe mkuu[emoji34][emoji34][emoji34] kwa hiyo wewe unajua kuna kuonana kwa aina ngapi?