Nimemshangaza mwanafunzi wangu huyu, nahofia asije akatangaza hili

Kwa kweli wewe mkufunzi wa Chuo kikubwa dar. Hata uandishi wako unaonesha wewe ni Mkufunzi wa Chuo Kikubwa.
 
Me sijaelewa wakuu, aliemuelewa mkufunzi anieleweshe tafadhali.
 
Kama ulivyosoma tu mkuu, hakuna fumbo
Basi msihi mwanafunzi huyo abaki na siri yako hiyo ya kuongea sauti saba. Una matatizo ya kiroho? Unatumia mizimu kazini kwako? Unataka kuwa huru na mambo hayo? Tunaweza kujadili zaidi.
 
Kama ni mpiga ramli hiyo ni kawaida ili upate kuishi ila kama mkufunzi chuoni nenda hospitalini upande wa magojwa ya akili uandikishwe. Ikija siku ukatekeleza uhalifu kama mauaji ukwepe kamba shingoni.
 
πŸ€“ πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Humu ushindwe mwenyewe kucheka
Hii sauti 7 itakua muungurumo wa radi
 
Kiukweli sijakuelewa
 
Sasa ulikuwaje mkufunzi, kama changamoto kama hiyo imekushinda

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Una bipolar disorder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…