Nimemshukuru Mungu kwa maisha ya Hayati Magufuli kwa ujenzi wa Daraja la Mto Wami

Ila Leo ni jumatatu.
 
Wewe unamjua Magufuli zaidi ya anavyomjua Jokate?
 
Kwamba wanaotumia daraja ni wachaga tu? Wengine wanapaa au?
 
Huyu aliuliwa na Mungu baada ya kilio cha Watanzania wengi
 
Mzilankende Alitufanyizia Kazi Kweli Kweli
 
Binafsi namshukuru Mungu sana kwa kifo cha jiwe
Hata wewe siku ukifa wapo watakao huzinika na wengine watafurahi hiyo ndio hulka ya binadamu

Hadi Leo akina Netanyau hawamkubali Yesu japo asilimia 90 Dunia mzima tunaamini Yesu alikuwa mtu safi
 
Kwanza tusisahau kwamba hata hizo km 12000 mnazompa kikwete alisimamia yeyeJPM alifanya maamuzi magumu sana ambayo maRais wote waliopita hawakuthubutu, kuhamishia makao makuu kuwa Dodoma, ni uthubutu wa aina yake hiyo ni no revise, daraja la kigongo busisi i, natamani daraja likamilike tupite juu yake hata mimi hapo nitapiga goti miaka ya sabini wakati tukisoma mwanza tulipata taabu sana vijana wa leo hawajui ndo maana wanakashifu, "simbuko halisimbuki ila kwa misukosuko" leo tunampa kongole Rais Samia kuhusiana na JNHP lakini aliyemeza wembe akakubali liwalo na liwe akaanza mradihuo ni JPM, mama ameweka tofarikwenye msingi na ni baada ya Chuma kuondoka angekuwepo tungeshasahau habari ya mgao wa umeme siku nyingi na gharama zingeshakuwa za kujiachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…