Nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18

Nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18

Inawezekana MIAKA 2000+ iliyopita Mtoto wa kike akivunja ungo Ilikuwa ni wakati muafaka kutumika kutokana na idadi ya watu Kwa kipindi hicho Pia hakukuwa na cha kusubiri lakini Leo ili uanzishe familia Kuna maandalizi unatakiwa ukomae kukabiliana na mambo ya uzazi lakini Pia ni Muhimu Sana watoto Wetu wa kike wapate Elimu.
 
Saudi Arabia si uislamu wala Qur'an. Ponda yupo sahihi kuhusu umri wa binti kuolewa kwa mujibu wa Dini ya kiislam ila hayupo sahihi katika dai la kuwa miaka 18 ni pendekezo la wakatoliki.
Kwan uislam unatamka mtoto wa kike aolewe kuanzia miaka mingapi?
 
I give this ten years, Amerika moja hiyo, Europe moja, mwendo wa boyfriends girlfriends high body counts break pumbus more connections more prostitution more single parent homes more abortions more kataa ndoas more porn more homosexuality and the other sexual deviances on the rise that I refrain from mentioning
 
Ila nimegundua asilimia kubwa ya waislam ni wanafiki sana nimeshangaa sana eti leo wanakana kwamba Saudi Arabia sio nchi ya kiislamu huku hao hao wakiunga mkono Zanzibar kupiga marufuku uuzwaji wa chakula wakat wa mfungo kwa madai kwamba ni nchi ya kiislamu yaani ni ujinga mtupu.

Yaani una binti Yako wa miaka 12 kinakuja kidume kina miaka 40 eti nataka nimuoe aisee!!! Mbona hainiingii akilini kabisa.
 
Ni kwa kuwa ninyi wenzetu hamtaji kujifunza. Mnalibeba jambo lilivyo ilimradi tu limetoka kwa Msaada wa Marekani.

Lkn huko Marekani yako majimbo wanawake sheria kuwa msichana anaweza kuolewa akiwa na miaka 16

Mkuu uko sawa kweli? Kwahiyo Kila wanachofanya wazungu unataka na sie huku tuige sio? Hayo hayo majimbo unayoyasema yanaunga mkono ushoga kwahiyo unakubaliana nao?
 
Mkuu uko sawa kweli? Kwahiyo Kila wanachofanya wazungu unataka na sie huku tuige sio? Hayo hayo majimbo unayoyasema yanaunga mkono ushoga kwahiyo unakubaliana nao?
Umenielewa. Kuwa si kila tunacholetewa tukibebe kama kilivyo kwani hata serikali zao za majimbo hawafati.

Sasa wazo la wasichana bora kufanya zinaa lkn asiolewe ni la serikali kuu ya marekani.

Hawa ni mashetani
Bora tufate maelekezo ya MUNGU ambayo hayazuiii msichana akiwa na baleghe na sawa na mila wa jamii husika.
 
Sasa Sheikh Ponda sijui anasema Uislamu gani? Ifike kipindi sasa watu waache kutumia dini kuendekeza tabia zao za kipuuzi. Serikali iko sahihi kuweka umri wa ndoa kuwa miaka 18.
Nami nakazia

1680764500225.png
 
Shut your pie hole islamophobic cunt! Unatafta likes kwenye iman za watu mbwa wee
Sitafuti likes, likes ndo nn??.

Nawaambia, Huo ni Ubakaji tu unatoka a na uchu wa kutafuta bikra na kudidimiza watoto wa kike,. Nadhan Huwa mnataman Tanzania ingekua kama Afghanistan .


Hiyo ni statutory rape, umekosea Wazee wenzako mpaka uende kutafuta katoto ka miaka 14 kijijin huko kisa hakasomi, ndio ukafanya Mke kwakua kana bikra??.


Ujinga mtupuu..MKOME MKOME MKOME !!
 
Dini Siyo kukariri au kukaririshana haya mambo yanakwenda na UELEWA.

uelewa ni uwanda mpana sana, ikiwa ni pamoja na ELIMU, ENEO, MUDA, MAUMBILE ,NYAKATI , HADHI NK

mf uislamu unahimiza mtu akifariki azikwe mara moja.

JIULIZE MTUME MUHAMAD ALIPOFARIKI ALIZIKWA MARA MOJA?

Kisha unganisha maandiko ya dini na uelewa.
 
Kuna watu ni wapumbavu sana. Dini hiyo hiyo anayoitumia kutetea ndoa za miaka 10 ndo hiyo hiyo ataitumia kuhalalisha talaka au kuongeza mwingine wa miaka 9. Hapa sio suala la dini ni SUALA LA TAMAA YA KUNAJISI MABINTI WADOGO KWA MGONGO WA DINI.

Tusiruhusu kushindwa hii vita dhidi ya wabakaji.
 
Back
Top Bottom