Aya gani imesema saudia arabia
Miaka sita inaruhusiwaJe, quran inasemaje kuhusu Umri wa ndoa kwa mtoto wa kike?
Hapo sawa ila haijatajwa saudia arabiaArdhi ya sehemu iliyoshushwa quran ni ardhi iliyo ndani ya nchi ya saudi Arabia.
Aya 2. Surat yusufu inasema hivi
Hakika Sisi tumemteremshia Mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya Kiarabu yasomwe na yahifadhiwe, ili muyafahamu, na muwafikishie watu wote.
Unasikitisha sanaMtoto wa kike anapozaliwa anakuwa na mayai kama milioni moja unusu hivi, yanaanza kuharibika kila siku kabla hata haja vunja ungo.
Anapofikia umri wa kupata hedhi ya kwanza, teyari zaidi ya 70% ya mayai yanakuwa yameshaharibika. Kumbuka mayai huwa yanatoka manne hata matano kwa mkupuo, halafu moja kubwa ndiyo linapevuka, yaliyobaki yanaharibika (yanamezwa mwilini).
Mwanamke anapofikia miaka kama 22-24, anakuwa na mayai chini ya laki moja. Kimbembe kinakuja anapofika 30, hapo kuna mabadiliko mengi sana yanaanza kutokea, ikiwemo homoni za estrogen kupungua na kusababisha mayai yanayochepuka kupungua kutoka manne hadi moja. Hivyo kupelekea ongezeko kubwa la yai linalopevuka kuwa na matatizo ya kinasaba kadri umri unavyoenda (mayai ndiyo seli zenye umri mkubwa kuliko zote kwa mwanamke, zinatengenezwa siku chache tuu baada ya mimba kutungwa.
Tukija kwenye sababu za kijamii, si watoto wote wanaopenda kubaki shule, wengine ni bora tuu waolewe wakifika 16 kuliko wabaki mitaani na kuzaa na wanaume wengi, na kusababisha ongezeko la watoto wa mitaani.
Hapo sawa ila haijatajwa saudia arabia
Inaitwaje hiyo sehemuArdhi ya sehemu iliyoshushwa quran ni ardhi iliyo ndani ya nchi ya saudi Arabia.
Aya 2. Surat yusufu inasema hivi
﴿إِنَّا أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ﴾
[ يوسف: 2]
Hakika Sisi tumemteremshia Mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya Kiarabu yasomwe na yahifadhiwe, ili muyafahamu, na muwafikishie watu wote.
Reference siyo Saud ArabiaSema wewe inasemaje? wewe unajua Quran kuliko wa Saudi Arabia?
Hunisomi kwa umakini, nimesema "si wote". Wale wanaotaka kuolewa wasizuiliwe.Unasikitisha sana
Nani kakwambia wote wanaobaki nyumbani wanazaa wakiwa na umri mdogo?
Alafu wapi imeandikwa kuwa kama mtoto haendelei na shule basi aolewe??
Hizo akili za nzi umezitoa wapi?
Unawezaje kutenganisha Saudi Arabia na Uislamu?Reference siyo Saud Arabia
Acha ubazazi wewe! Kuna wasimbe kibao mitaani achana na vitoto vidogo.Hunisomi kwa umakini, nimesema "si wote". Wale wanaotaka kuolewa wasizuiliwe.
Inaitwaje hiyo sehemu
Huo umri sahihi ni ngapi?Saudi Arabia si uislamu wala Qur'an. Ponda yupo sahihi kuhusu umri wa binti kuolewa kwa mujibu wa Dini ya kiislam ila hayupo sahihi katika dai la kuwa miaka 18 ni pendekezo la wakatoliki.
Saudia kuna wakristo au hakuna wakristoInaitwa Makka.
Je Makka ipo nchi gani ?
Nenda kasome Quran 42 : 7 utakutana na hii aya kuhusu Makka. Je ardhi ya makka haipo saudi arabia ?
Na namna hii tumekufunulia Qur-an kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uwaonye siku ya mkutano, siku isiyo na shaka. Kundi moja litakuwa Peponi na kundi jingine Motoni "
Aiseh biology ya wapi hii?🤣🤣Mtoto wa kike anapozaliwa anakuwa na mayai kama milioni moja unusu hivi, yanaanza kuharibika kila siku kabla hata haja vunja ungo. Anapofikia umri wa kupata hedhi ya kwanza, teyari zaidi ya 70% ya mayai yanakuwa yameshaharibika. Kumbuka mayai huwa yanatoka manne hata matano kwa mkupuo, halafu moja kubwa ndiyo linapevuka, yaliyobaki yanaharibika (yanamezwa mwilini).
Mwanamke anapofikia miaka kama 22-24, anakuwa na mayai chini ya laki moja. Kimbembe kinakuja anapofika 30, hapo kuna mabadiliko mengi sana yanaanza kutokea, ikiwemo homoni za estrogen kupungua na kusababisha mayai yanayochepuka kupungua kutoka manne hadi moja. Hivyo kupelekea ongezeko kubwa la yai linalopevuka kuwa na matatizo ya kinasaba kadri umri unavyoenda (mayai ndiyo seli zenye umri mkubwa kuliko zote kwa mwanamke, zinatengenezwa siku chache tuu baada ya mimba kutungwa.
Tukija kwenye sababu za kijamii, si watoto wote wanaopenda kubaki shule, wengine ni bora tuu waolewe wakifika 16 kuliko wabaki mitaani na kuzaa na wanaume wengi, na kusababisha ongezeko la watoto wa mitaani.
Saudi Arabia ni nchi ya Kiislamu tena SunniSauida kuna wakristo au hakuna wakristo
Sunni nini?Saudi Arabia ni nchi ya Kiislamu tena Sunni
Achaga kuuliza maswali ya kijinga? Kama huelewi Google basi. Hii ni Jamii Forum, home of great thinkersSunni nini?
Nimeshakupa sababu za kibailojia kwa nini umri mkubwa haupo upande wa mwanamke linapokuja suala la kupata mtoto. Hata kiafya mwanamke anapofika 35 huwa anakuwa considered a high risk kupata mimba.Acha ubazazi wewe! Kuna wasimbe kibao mitaani achana na vitoto vidogo.
Saudia kuna wakristo au hakuna wakristo