Nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18

Huyu shehe a natakiwa atiwe mbaroni kama a nataka tubint vyake violew na huo umri Sawa lakini wa kwangu mwiko
 
Yan katka watu ambao hawana akili pamoja na wewe we unadhan saudia ndo uislam. Din ya kiislam inasimama yenyewe kama yenyewe hakuna cha msaudia wala nan mtume amemuowa A'isha akiwa na umr wa miaka 7 na kuanza rasim kuishi nae kindoa akiwa miaka 9 peleka mbele uko upuuzi wako
 
Umeulizwa Saudia Arabia iko na wakristo au hakuna jibu hilo swali? Afu sheria za dini sio saudia Arabia. Kwenye Qur'an hakuna sehemu inatabanaisha umri wa mwanamke kuolewa. Binti anapovunja ungo tiyari ashakuwa mkubwa. Afu kuna mtoto kasema (Sunn) kwenye uislamu hakuna dhehebu.
 
Kwa iyo Saudi Arabia kitovu cha Uislamu wanaposema umri wa ndoa ni miaka 18 unataka kusema hawajasoma Quran? Acha kuficha ubazazi wako kwenye dini wewe!!
 
Huu ndiyo usomi, unajibu Kwa hoja yenye mashiko na authority kabisa. Anatafuta pa kutokea hapaoni.
 
Hata Bibi FaizaFoxy anaridhia mjukuu wake wa miaka 14 aolewe.
 

Nimekujibu sijui kama kuna raia wa saudi arabia ambao ni wakristo na wanaishi katika nchi ya saudi arabia now. Ila kwa raia wa nchi za kigeni lazima wakristo wawepo. Maana kuna wazungu wakristo wanaishi saudi arabia kama exparts

Hilo swali lako haliondoi hoja yangu kama Quran imeshushwa katika ardhi ya saudi arabia. Tena kwa lugha ya raia wa nchi ya saudi arabia

Na nimekuwekee aya za quran kuthibitisha hilo
 
Na wewe utadharaulika km unampinga wakati sio Muislam ila utakuwa sahihi kupinga km wewe ni Muislamu na unaujua misingi yake hasa ktk ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…