92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Yaani wakiruhusu ushoga basi watu wamekwisha😎Unapozungumzia Uislam haitajw nchi mtaje alieamin na kufuata maamrisho ya Dini, kwaio Saudia wakisema Ushoga Ruhsa ndo itakua na maana uislam umepitisha ushoga???