Nimemsikiliza Godbless Lema katika The Big Ajenda Star TV, yupo vizuri kichwani kuwazidi wapinzani wote hapa Tanzania


..lakini kulalamika ndio mwanzo wa kutafuta suluhu ya matatizo yetu.

..ccm wanataka turidhike na hali mbaya ya uchumi ili wao waendelee kula raha na kudumu madarakani.
 
Lema yupo vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…