Nimemtizama huyu sijui Lameck Lawi kwa Jicho langu la Kiufundi sijaona na nasikitika kuona Simba SC yangu walimtaka na bado tu wanamtaka

Nimemtizama huyu sijui Lameck Lawi kwa Jicho langu la Kiufundi sijaona na nasikitika kuona Simba SC yangu walimtaka na bado tu wanamtaka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nadhani sasa ifike muda Viongozi wa Simba SC muanze Kuutumia sana huu Mtandao wa JamiiForums ambapo wana Simba SC wote wenye Akili Kubwa na tunaoujua Mpira kwa Kuucheza kwa Viwango vyetu na Kuuchambua ili muwe mnachukua na kufanyia Kazi mawazo yetu.

Hivi Uongozi wa Simba SC kabisa kabisa huyu Lameck Lawi ni Mchezaji wa Hadhi hiyo ya Kuichezea Simba SC yetu hii?
 
FB_IMG_1721134081440.jpg
 
Nadhani sasa ifike muda Viongozi wa Simba SC muanze Kuutumia sana huu Mtandao wa JamiiForums ambapo wana Simba SC wote wenye Akili Kubwa na tunaoujua Mpira kwa Kuucheza kwa Viwango vyetu na Kuuchambua ili muwe mnachukua na kufanyia Kazi mawazo yetu.

Hivi Uongozi wa Simba SC kabisa kabisa huyu Lameck Lawi ni Mchezaji wa Hadhi hiyo ya Kuichezea Simba SC yetu hii?
Ulichelewa Sana kumfuatilia. Ukitafuta kina Lawi wako wengi Tanzania na kuendelea kuhangaika naye labda ni Kwa dhumuni la kuweka kumbukumbu Sawa na kuhakikisha sheria zinafuatwa.
 
Back
Top Bottom