Nimemtolea mahari sasa ananipa shida, najuta!

Nimemtolea mahari sasa ananipa shida, najuta!

[emoji28]

2015 ulikuwa na miaka 24

2021 una miaka 27 [emoji23]
 
Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Vijana mkiwa mnaweka madhaifu ya wenza wenu msisahau kuweka na madhaifu yenu.

Kila siku mnalialia tu,sisi mbona tunaishi na wake zetu na tunaishi na changamoto zao hivyo hivyo.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.

Kama muislamu basi talaka yake zaidi ya tiketi ya TARURA
 
Unajiita Love unategemea kuwa mwanaume? Huyo mkeo ashajua hamna kitu hapo, yani Tony alafu Love kwa kawaida unadhani tutegemee nini.
Anyway, achana na hiyo pesa hesabu kama hasara. Toa huyo mchumba wako ubaki mwenyewe ila kama utajifanya kuvumilia utaachana nae baadae uumie zaidi wewe buy time
Muache tonny Mapenzi
Mapenzi yamutese
 
[emoji28]

2015 ulikuwa na miaka 24

2021 una miaka 27 [emoji23]
Hawa vijana waleta nyuzi[emoji23]
 
[emoji28]

2015 ulikuwa na miaka 24

2021 una miaka 27 [emoji23]
Toa ushauri kaka, kuhusu miaka tuweke pembeni, hii ni stori ya kweli.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Duuu Tony Malove anaomba ushauri wa malove. Dogo mwanamke kama hataki mwache aende zake husimlazimishe.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Bora ukubali kupoteza hiyo milioni 1.5 kuliko kuja kuwekewa sumu, kudhuriwa physically, kupewa umeme kama atampata huyo mwenye mazingira yanayomridhisha akawa anaenda kuuza mechi kipindi bado uko naye..
Lazima uumie moyo kwa sasa kwa vile mwanaume hadi anaamua kuoa bila kuwa influenced na external push factors huwa ameshajiridhisha juu ya kiwango cha upendo wake kwa huyo mwanamke, ila MUDA NI TABIBU MZURI SANA kama ni ndoano pasua mashua... maisha mafupi sana haya kubebelea stress mingi au kufikiria watu watanionaje, ISHI KWA AJILI YAKO
 
Back
Top Bottom