Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana mkiwa mnaweka madhaifu ya wenza wenu msisahau kuweka na madhaifu yenu.Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Ndiyo utoe ushauri sasa nasiokuleta mafumbo ya kwenye delaKwa hali ilivyo sasa inaonekana jamii zetu kuna sehemu zimekosea/ kuna kitu cha muhim sana imekisahau.
Muache tonny MapenziUnajiita Love unategemea kuwa mwanaume? Huyo mkeo ashajua hamna kitu hapo, yani Tony alafu Love kwa kawaida unadhani tutegemee nini.
Anyway, achana na hiyo pesa hesabu kama hasara. Toa huyo mchumba wako ubaki mwenyewe ila kama utajifanya kuvumilia utaachana nae baadae uumie zaidi wewe buy time
Hawa vijana waleta nyuzi[emoji23][emoji28]
Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani
Habari zenu MMU? Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%. Mashine yangu ipo...www.jamiiforums.com
2015 ulikuwa na miaka 24
2021 una miaka 27 [emoji23]
Toa ushauri kaka, kuhusu miaka tuweke pembeni, hii ni stori ya kweli.[emoji28]
Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani
Habari zenu MMU? Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%. Mashine yangu ipo...www.jamiiforums.com
2015 ulikuwa na miaka 24
2021 una miaka 27 [emoji23]
Duuu Tony Malove anaomba ushauri wa malove. Dogo mwanamke kama hataki mwache aende zake husimlazimishe.Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Bora ukubali kupoteza hiyo milioni 1.5 kuliko kuja kuwekewa sumu, kudhuriwa physically, kupewa umeme kama atampata huyo mwenye mazingira yanayomridhisha akawa anaenda kuuza mechi kipindi bado uko naye..Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.