Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Sasa upumbavu wake ni upi wakati kwenye vikaonvyenu mlikubaliana kuwa mbususu haiuzwi lakini pia sio bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khaa jamani vikao hivi vitatokea watu puani, nadhani Ni kukosa mawazo yakinifu kwasababu Kama una akili timamu huwezi fanya huu ujinga labda Kama mtongozwaji Ni mfanya biashara.
 
Khaa jamani vikao hivi vitatokea watu puani, nadhani Ni kukosa mawazo yakinifu kwasababu Kama una akili timamu huwezi fanya huu ujinga labda Kama mtongozwaji Ni mfanya biashara.
Sasa bibie unadhani akikiuka makubaliano ya kikaoncha wanawake sii mtamnyima uwanachama🤣🤣🤣. Mbususu sii lazima uhudumiwe na kisafishwa jamani. Kama hivyo mrembo alikuwa anatfuta viwalo na kama hivyo valentines ipo around the corner
 
Uamuzi ni wako kuingia valentine na mpenzi mpya au ubaki na maisha yako na hela yako[emoji23]

Embu tuseme aliibiwa karume,nani alimuibia pale kwenye nguo? Mbona kama vile indirectly na wewe ni mtuhumiwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha.....
 
Sasa bibie unadhani akikiuka makubaliano ya kikaoncha wanawake sii mtamnyima uwanachama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mbususu sii lazima uhudumiwe na kisafishwa jamani. Kama hivyo mrembo alikuwa anatfuta viwalo na kama hivyo valentines ipo around the corner
Mkuu huyo manzi kaupiga mwingi mnoo angevita gape kidogo jamani huyu inabidi apewe semina Tena ataharibu mambo[emoji1][emoji1]
 
Yes hapo mkuu uko sahihi kabisa Tena Hilo Ni kahaba likilokubuhu kabisaaa aseee. Akijaribu fanya meeting nae anaweza hata akaibiwa na asionje mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sahii kabisa,
Kazi ya ukahaba ni utumike kingono Kisha ulipwe Ela, inawachosha sana.

Makahaba wote wakipata fursa ya kupata danga la kuchuna Bila kutumika kingono wanaenjoy Sana.

Hapo kapata mtelezo na hawez kuuacha[emoji4]
 
Back
Top Bottom