Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Sahii kabisa,
Kazi ya ukahaba ni utumike kingono Kisha ulipwe Ela, inawachosha sana.

Makahaba wote wakipata fursa ya kupata danga la kuchuna Bila kutumika kingono wanaenjoy Sana.

Hapo kapata mtelezo na hawez kuuacha[emoji4]
Mkuu kapata mtelezo wapi akati hata pesa enyewe hajapewa em mtoa mada alipe hyo pesa alafu atuletee murejesho ili tukamilishe utafiti au unaonaje mkuu
 
Mkuu kapata mtelezo wapi akati hata pesa enyewe hajapewa em mtoa mada alipe hyo pesa alafu atuletee murejesho ili tukamilishe utafiti au unaonaje mkuu
Ningekua mtoa mada,
Ningetoa iyo pesa Kisha nimtumie haswa haswa Kufidia pesa yangu.[emoji4]

Ntampa Tena Mara 2, Mara 3. Kisha ndo Nijifanye nna malengo naye, hapa ataanza kunipa bure.

Baada ya hapo,
Sasa ile bure bure ntaifululiza mpk ile thamani ya Ela yangu yote irudi mpk ifikie wastani wa 50,000 Kila mechi[emoji4]

BAADA YA HAPO NAMBWAGA Maana ELA YANGU IMETUMIKA IPASAVYO
 
Jana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.

Sasa ktk tembea tembea pale sokoni nikaiona pisi kali inachagua chagua blauzi za buku buku. Moyo ukafanya "chwaaaaaaaah!!!" Mamamamaaa aisee mjini kuna watoto wakali mazee. Alikua amepiga vile visketi flani vya mpira mpira hips zimechomoza kama vile zinapambana zitoboe ile sketi pembe
Mwambie aje gheto kuchukua...
 
Jana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.

Sasa ktk tembea tembea pale sokoni nikaiona pisi kali inachagua chagua blauzi za buku buku. Moyo ukafanya "chwaaaaaaaah!!!" Mamamamaaa aisee

Mpe tu jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwambie tu akamate chepe awe kibarua kurudisha pesa hakuna namna
 
Back
Top Bottom