Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Hizo ndio gia sikuhizi za mwanamke asiyekutaka., Hatokuambia toka ila utapotea tu mwenyew[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama , It is not 500k worthHapo umepata mdangaji na sio mpenzi
(haihitaji kujiuliza Mara mbili)
Kama uwezo unao,
mpe iyo Ela afu nawe mfanye kahaba wako.MFUJE IPASAVYO USIMPE PUMZI. Kisha pembeni endelea na harakati za kutafta mpenz wako.
Akija kustuka na keshaanza kukupenda tayar, wewe Ndo ushapata mpenz wako anayejielewa unampiga chini kwa maumivu makali uku ushampotezea MDA KIBAO na menopause ishasogea.
Ndo dawa ya wadanganji iyo.
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kuwa na huruma, Mungu anakuona ujue hyo thamani ya 50k kila mechi si atapepea na feni huko.Ningekua mtoa mada,
Ningetoa iyo pesa Kisha nimtumie haswa haswa Kufidia pesa yangu.[emoji4]
Ntampa Tena Mara 2, Mara 3. Kisha ndo Nijifanye nna malengo naye, hapa ataanza kunipa bure.
Baada ya hapo,
Sasa ile bure bure ntaifululiza mpk ile thamani ya Ela yangu yote irudi mpk ifikie wastani wa 50,000 Kila mechi[emoji4]
BAADA YA HAPO NAMBWAGA Maana ELA YANGU IMETUMIKA IPASAVYO
Ha ha ha.....[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kuwa na huruma, Mungu anakuona ujue hyo thamani ya 50k kila mechi si atapepea na feni huko.
Kwan amekua Mungu? Yaan hiyo 50,000/= ni 10% ya 500,000/=.Mwambie aje achukue Gheto akija basi unaforce mchezo alaf unampa elfu 50000 kama unayo zaid unampa hata 100000 alaf unasikilizia milio
Na kweli mkuu wewe hushindwi kabisaaa[emoji23][emoji23], Yani watu wanavyofanyaga huu utapeli kizembe sijui huwa hawawazi kwa mapana nashindwa kuelewa kabisaa yaniHa ha ha.....
Huruma ya Nini wkt ananichukulia danga lake.
Akitaka kula, akumbukwe Kuna kuliwa[emoji2]
Tena kwanza hapo mbona nmemhurumia,
Naweza mpa Iyo laki 5,
Kisha mda huo huo nikapitia mlango wa nyuma nikamtegea vibaka wamkabe wamnyanganye Iyo Ela inirudie mwenyewe[emoji4]
Nikitoa laki TU ya kuwalipa vibaka kwa kazi,nabakiwa na laki 4 cash.
Hasara ya laki inakidhi kabisa kufidia ghrama za ule uchafuzi niloufanya kwenye mwili wake[emoji2]
Ndio muitishe kikao cha dharura mkubaliane mzinga wa kwanza kima cha chini na cha juu ni kiasi gani. Ila msisahau kuwa mzinga uwe proportional na ukubwa wa tako🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu huyo manzi kaupiga mwingi mnoo angevita gape kidogo jamani huyu inabidi apewe semina Tena ataharibu mambo[emoji1][emoji1]
Ujanielewa,Hata kama , It is not 500k worth
Ha ha ha ...binafs Ela yangu haiendi kizembe mkuu[emoji4]Na kweli mkuu wewe hushindwi kabisaaa[emoji23][emoji23], Yani watu wanavyofanyaga huu utapeli kizembe sijui huwa hawawazi kwa mapana nashindwa kuelewa kabisaa yani
Na awe anajua kuperform kunako 6×6.Ndio muitishe kikao cha dharura mkubaliane mzinga wa kwanza kima cha chini na cha juu ni kiasi gani. Ila msisahau kuwa mzinga uwe proportional na ukubwa wa tako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli hiyo ni kukwambia tuu hakutakiHizo ndio gia sikuhizi za mwanamke asiyekutaka., Hatokuambia toka ila utapotea tu mwenyew[emoji1]
Hapo penye matako ndo panapowaumiza kabisaa wanaume ahh, mkishaona hayo baas vichwa vidogo vinawakimbiza mchaka mchakaNdio muitishe kikao cha dharura mkubaliane mzinga wa kwanza kima cha chini na cha juu ni kiasi gani. Ila msisahau kuwa mzinga uwe proportional na ukubwa wa tako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]