copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Huu mstari tunauitaje? A thin or thick line? Btn bwege and kapuku--- Hakuna intermediate?Siku hizi ukitongoza hukataliwi lakini masaa machache baada ya kukubaliwa unapigwa kirungu cha uhakika..sasa utajua mwenyewe unachomokaje...na demu hapo atakuwa anafanya analysis ya kujua kama wewe ni bwege unayehonga massively au ni kapuku tu asiye na chakuhonga.
Na nyie wachache unakuta hamvutii kivile
Nadhani upindue.. Kuna wanawake wengi wapumbavu wanawafanya wachache muonekane wajinga--Kuna wanawake wachache wapumbavu wanatufanya wanawake wote tuonekane wajinga, shenzi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo anamchimba mwizi wakeUamuzi ni wako kuingia valentine na mpenzi mpya au ubaki na maisha yako na hela yako[emoji23]
Embu tuseme aliibiwa karume,nani alimuibia pale kwenye nguo? Mbona kama vile indirectly na wewe ni mtuhumiwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha.....
Huruma ya Nini wkt ananichukulia danga lake.
Akitaka kula, akumbukwe Kuna kuliwa[emoji2]
Tena kwanza hapo mbona nmemhurumia,
Naweza mpa Iyo laki 5,
Kisha mda huo huo nikapitia mlango wa nyuma nikamtegea vibaka wamkabe wamnyanganye Iyo Ela inirudie mwenyewe[emoji4]
Nikitoa laki TU ya kuwalipa vibaka kwa kazi,nabakiwa na laki 4 cash.
Hasara ya laki inakidhi kabisa kufidia ghrama za ule uchafuzi niloufanya kwenye mwili wake[emoji2]
So funny[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]life is funny
Laki 2 yote hiyo kwa pesa hewa iliyopotea[emoji1787][emoji1787]Mpe pole kwa tukio hilo, halafu mwambie muonane ili muongee zaidi.
Ukishaonana naye mwambie utamsaidia laki 2.
Then angalia uwezekano wa kupata burudani kutoka kwake.
Kama upo piga show then mpatie laki 2.
So true, Hii ndo gia yetu nowdaysSiku hizi ukitongoza hukataliwi lakini masaa machache baada ya kukubaliwa unapigwa kirungu cha uhakika..sasa utajua mwenyewe unachomokaje...na demu hapo atakuwa anafanya analysis ya kujua kama wewe ni bwege unayehonga massively au ni kapuku tu asiye na chakuhonga.
Mbona kawaida tu? Imekuwa coincidence!Jana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.
Sasa ktk tembea tembea pale sokoni nikaiona pisi kali inachagua chagua blauzi za buku buku. Moyo ukafanya "chwaaaaaaaah!!!" Mamamamaaa aisee mjini kuna watoto wakali mazee. Alikua amepiga vile visketi flani vya mpira mpira hips zimechomoza kama vile zinapambana zitoboe ile sketi
ila laki tano kwa mbusus inabidi hapo mwanamke awe pia anatoa tigo sio mbususu tuu
sawa wacha na sie tuendelee na gia ya kutafuta pesa tuu maana hamna mbususus ngumu mbele ya wale msimbaziSo true, Hii ndo gia yetu nowdays
Kwani mkuu ukimtumia unaondoka na kitumbua chake?Ningekua mtoa mada,
Ningetoa iyo pesa Kisha nimtumie haswa haswa Kufidia pesa yangu.[emoji4]
Ntampa Tena Mara 2, Mara 3. Kisha ndo Nijifanye nna malengo naye, hapa ataanza kunipa bure.
Baada ya hapo,
Sasa ile bure bure ntaifululiza mpk ile thamani ya Ela yangu yote irudi mpk ifikie wastani wa 50,000 Kila mechi[emoji4]
BAADA YA HAPO NAMBWAGA Maana ELA YANGU IMETUMIKA IPASAVYO
Kama unaijua function ya “block contact” ....”Blacklist contact” itumie haraka sana utakuja kunishukuru!Jana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.
Sasa ktk tembea tembea pale sokoni nikaiona pisi kali inachagua chagua blauzi za buku buku. Moyo ukafanya "chwaaaaaaaah!!!" Mamamamaaa aisee mjini kuna watoto wakali mazee. Alikua amepiga vile visketi flani vya mpira mpira hips zimechomoza kama vile zinapambana zitoboe ile sketi pembeni zipotelee kusikojulikana. Juu alipiga top halafu kifuani saa sita zimechomoza dizaini kama hakua amevaa bra. Nikajikuta kama nimeduwaa shetani akanishika mkono akaniambia "blaza blaza usinikemee, hakika mm ni rafiki yako wa kudumu [emoji39]"
Nikaanza kujivuta mdogo mdogo kuelekea alipokua anachagua nguo. Mapigo ya moyo yalikua yanaenda kasi mno mpaka nilikua nayaskia hapa kifuani "tu tu tuuuu!!!" Nikamsogelea
Mimi "hello bestie, habari"
Yeye "safi"
Mimi "samahani kama nakufananisha hivi"
Yeye "sio mimi"
Mimi "okay, nina shida nahitaji kuwasiliana na ww.. sijui naweza kupata namba yako?"
Akaniangalia kuanzia juu mpaka chini kisha akanipa kasimu kake ka smart ka Samsung nichore namba yangu. Nikaandika. Nikajibip. Nikamshukuru. Nikasepa.
Huyoooooo nikaenda kituo cha gerezani kudaka mwendo kasi nirudi kitaa. Nikasema simtafuti kwanza mpaka jioni. Usiku nikamtext kumpanga for the next appointment. Ila akawa ananijibu kimkato mkato tu. Nikampandia hewani akakata akaniambia subiri nipo na kaka ntakupigia. Ikabidi nimpige sound ktk sms, akatiki lkn kwa masharti nisimuumize maana mahusiano yake yaliyopita alitendwa na hatopenda kupata experience kama ile. Nikamtoa hofu!
Leo asubuhi nimeamka nimekuta amenitumia bonge la text "baby sorry jana jioni wkt tunaonana nilikua na ela ktk mkoba mzee alinituma nikazitoe benki za mafundi hapa home, kama laki tano. Leo asubuhi kaja fundi nataka nimpe sizioni, nahisi niliibiwa pale Karume... Nimemuambia baba hanielewi, sijui nifanyeje naomba nisaidie..." Text nyngne akaweka vikopa kopa na vile vi emoji kama anaona aibu vile...
Nimeshindwa nimjibu nini aisee
Ofcoursesawa wacha na sie tuendelee na gia ya kutafuta pesa tuu maana hamna mbususus ngumu mbele ya wale msimbazi
Inaweza kuwa thick au thin..Huu mstari tunauitaje? A thin or thick line? Btn bwege and kapuku--- Hakuna intermediate?
Nilimtemaga mpuuzi mmoja😅 nakumbuka nilipigaga once nikaenda Bush kulima nikiwa shamba akawa anaombaga hela akanunue simu!Aisee yaan kirungu hata hujamtongoza au siku hizi ukishapewa no mwanamke ndio tayari ushamtongoza naona hii formula mpya na ishatukuta wengi mimi nilichukuwa no ila yule ilipita kama siku 3 kirungu anataka 50000 nimuongezee akanunue simu hapo sijamtongoza yaan naona kama huu ni utamaduni wao hakuna kushangaa
Maisha ni ujinga tu ukiwa mkubwa unakula vitu vizito deileWakati upo mdogo ulikua uko na dreams uje ukue mkubwa,
Sasa umeshakua mtu mkubwa, unaongeleaje maisha ya kuwa mkubwa[emoji116]View attachment 2115586
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app