Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Si bora ww laki tano mwenzako humu humu katongoza demu leo kesho demu anamkopa jamaa 2 Milioni noma sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]kwani nimekosea ? Najaribu kuvaa viatu vya kibinadamu.
Mtakuja kujuta pale ambapo ulishindwa kumsadia umpendae kisa hii kasumba ya kuona kila muomba hela ni mdangaji. Saa ingine tunataitiwa kweli
Kutaitiwa kupo,
ila hakuondoi Haina yenu ya asili ya kike. (AIBU).
Mwanamke asiye na aibu Ni very toxic[emoji4]
 
Hapo umepata mdangaji na sio mpenzi
(haihitaji kujiuliza Mara mbili)

Kama uwezo unao,
mpe iyo Ela afu nawe mfanye kahaba wako.MFUJE IPASAVYO USIMPE PUMZI. Kisha pembeni endelea na harakati za kutafta mpenz wako.

Akija kustuka na keshaanza kukupenda tayar, wewe Ndo ushapata mpenz wako anayejielewa unampiga chini kwa maumivu makali uku ushampotezea MDA KIBAO na menopause ishasogea.

Ndo dawa ya wadanganji iyo.
And here we go that is ma boy deepbond zee la kuonga
 
Mpatie
Sasa wewe si umekubali kuwa bwana wake auu??
Upendo hauangalii mda kikubwa unayempenda atatue tatizo lake.
Unataka aanze kupata matatizo baada ya mda ganii??
Ampatie ila amuweke kwny kumbukumbu za serikali yake kwamba uyo Yuko kimaslah[emoji4]
 
Kwani mkuu ukimtumia unaondoka na kitumbua chake?

Unamkamua na anapata raha pia anapata na pesa.
Aaah wapi,
ingekua raha Ndo kigezo mngekua mnatupa bure Basi.

Nnachojua kile kiungo mwanamke yeyote anakilinda na kukithamini Sana.

Iyo Haina mjadala,
Ndo maana katika vitu havitokagi kichwani mwa mwanamke Ni kutumikishwa kingono.
Mf:kubakwa,kuliwa bure, kudhalilishwa uchi wake n.k

Hivyo Ata afanyiwe miaka 30 ilopita, bado tu Lazima atakumbuka na hatosahau kamwe[emoji4]
 
Jana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.

Sasa ktk tembea tembea pale sokoni nikaiona pisi kali inachagua chagua blauzi za buku buku. Moyo ukafanya "chwaaaaaaaah!!!" Mamamamaaa aisee mjini kuna watoto wakali mazee. Alikua amepiga vile visketi flani vya mpira mpira hips zimechomoza kama vile zinapambana zitoboe ile sketi pembeni zipotelee kusikojulikana. Juu alipiga top halafu kifuani saa sita zimechomoza dizaini kama hakua amevaa bra. Nikajikuta kama nimeduwaa shetani akanishika mkono akaniambia "blaza blaza usinikemee, hakika mm ni rafiki yako wa kudumu [emoji39]"

Nikaanza kujivuta mdogo mdogo kuelekea alipokua anachagua nguo. Mapigo ya moyo yalikua yanaenda kasi mno mpaka nilikua nayaskia hapa kifuani "tu tu tuuuu!!!" Nikamsogelea

Mimi "hello bestie, habari"
Yeye "safi"
Mimi "samahani kama nakufananisha hivi"
Yeye "sio mimi"
Mimi "okay, nina shida nahitaji kuwasiliana na ww.. sijui naweza kupata namba yako?"

Akaniangalia kuanzia juu mpaka chini kisha akanipa kasimu kake ka smart ka Samsung nichore namba yangu. Nikaandika. Nikajibip. Nikamshukuru. Nikasepa.

Huyoooooo nikaenda kituo cha gerezani kudaka mwendo kasi nirudi kitaa. Nikasema simtafuti kwanza mpaka jioni. Usiku nikamtext kumpanga for the next appointment. Ila akawa ananijibu kimkato mkato tu. Nikampandia hewani akakata akaniambia subiri nipo na kaka ntakupigia. Ikabidi nimpige sound ktk sms, akatiki lkn kwa masharti nisimuumize maana mahusiano yake yaliyopita alitendwa na hatopenda kupata experience kama ile. Nikamtoa hofu!

Leo asubuhi nimeamka nimekuta amenitumia bonge la text "baby sorry jana jioni wkt tunaonana nilikua na ela ktk mkoba mzee alinituma nikazitoe benki za mafundi hapa home, kama laki tano. Leo asubuhi kaja fundi nataka nimpe sizioni, nahisi niliibiwa pale Karume... Nimemuambia baba hanielewi, sijui nifanyeje naomba nisaidie..." Text nyngne akaweka vikopa kopa na vile vi emoji kama anaona aibu vile...

Nimeshindwa nimjibu nini


Nasema ivi umeingizwa mjini. Hakuna chakupotea hela nzehe, zinduka.

Ushauriwangu, owa.
 
Sasa msilalamike mkipigwa mizinga sababu mnataka wanaovutia,kufeni kiume tu....[emoji3]
Cha ajabu ukute na anaelalamika mzinga nae kaja kusuuza rungu TU na kusepa.

Biashara inatakiwa kua fair,
Ukila kidg, ujue Kuna kuliwa kingi[emoji4]
 
Nasisutiza tena, achananae,,,,hapo umeingizwa mjini.

Ushauriwangu, OWA, OWA, OWA.
 
Sasa akipata tabu asiseme jamanii
Sio kimaslahii
Mtu wa maslahi ajifichi mbona, as time goes ataonesha rangi yake halisi.

Ujue binamu tabia ya mtu iko Kama ngozi vile, Ni hivyo hivyo kwa wadangaji[emoji4]
 
Ushauri wangu Kama yupo Karume(Nymbani hapo) naomba namba Zake PM tutasaidiana kumpatia hiyo Laki 5
 
Back
Top Bottom