Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,076
Reaction score
5,483
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana.

Juzi kati nikaamua kumtingisha kidogo nikamwambia ndoto zangu nikuja kumuoa, bac mtoto akawaka mbaya akaongea vitu kibao mara ooh..akutegemea kama nitamwambia vitu kama hivo mara ooh..ananiheshim sana na ananichukulia kama kaka yake.

Nikaona mambo yasiwe mengi nkamwambia bac sawa nisamehe mi sikujua kama unanichukulia kama kaka yako basi wacha tuendelee kuwa kama kaka na dada. Dem akujibu text ila asubuhi akanichek ujumbe wake upo chini hapa👇🏻👇🏻.
Sasa wakuu mi nimeshindwa kumuelewa huyu mtoto anamaanisha nini na kipi nifanye kama mtu akikujibu hv.

Polish_20211015_125625500.png
 
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana.
Hakunaga cha kumuachia Mungu, Mungu ubaliki tu jitihada za mwanadamu hivyo usitegemee kukutanisha vikojoleo bila jitihada. Kiufipi majibu yake hayo ni dhahiri amesharidhia kilichobaki ni wewe kuongeza jitihada ili muwe pamoja. Usirudie tena kuomba msamaha unapotongoza mwanamke akakujibu hovyo. Kutongozwa au kutongoza siyo dhambi kabisa.
 
Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
 
Hakunaga cha kumuachia Mungu, Mungu ubaliki tu jitihada za mwanadamu hivyo usitegemee kukutanisha vikojoleo bila jitihada. Kiufipi majibu yake hayo ni dhahiri amesharidhia kilichobaki ni wewe kuongeza jitihada ili muwe pamoja. Usirudie tena kuomba msamaha unapotongoza mwanamke akakujibu hovyo. Kutongozwa au kutongoza siyo dhambi kabisa.
Ahsante mkuu nimekuelewa na ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
Sawa mkuu ila kunichek ananichek everyday na hata leo alipanga kuja kuniona coz kiafya siko njema sana
 
Ingekua mm hilo jibu lingetosha kufuta namba yake, akuchukulie kama kaka kwani wewe huna dada hata upande wa ukoo??
Anakuchora tu ili aone kama umekamatika kwake ili akupelekeshe, mpotezee tena ogopa wanaojifanya walokole
 
Ingekua mm hilo jibu lingetosha kufuta namba yake, akuchukulie kama kaka kwani wewe huna dada hata upande wa ukoo??
Anakuchora tu ili aone kama umekamatika kwake ili akupelekeshe, mpotezee tena ogopa wanaojifanya walokole
Introvert mwenzangu ebu twende taratibu kwanza
 
Back
Top Bottom