KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
sasa unaita watu ili iweje huo ni umbea🤣🤣🤣 Umeongea kinyonge sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa unaita watu ili iweje huo ni umbea🤣🤣🤣 Umeongea kinyonge sana
Si wapenzi wako lkn ila ushauri wako mzuri mkuusasa unaita watu ili iweje huo ni umbea
Nakazia hapa, Ngoja nipite na hii strategy..😁Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
mh! mi sina mpenzi humu!Si wapenzi wako lkn ila ushauri wako mzuri mkuu
Acha nikae kimya 🤣🤣mh! mi sina mpenzi humu!
Karungu yeye sio nungunungu bali anafania na nungununguNungunungu