Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
Nakazia hapa, Ngoja nipite na hii strategy..😁
 
Back
Top Bottom