Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Nakushauri achana naye huyo atakusumbua,mademu wa kilokole ni wasumbufu balaa. Kila kitu anataka akamwambie baba mchungaji kwanza hata mbususu atakuambia akamwombe baba mchungaji ruhusa. Wadada wa kilokole shauri yako utakuja kulalamika soon hapa.
 
Ingekua mm hilo jibu lingetosha kufuta namba yake, akuchukulie kama kaka kwani wewe huna dada hata upande wa ukoo??
Anakuchora tu ili aone kama umekamatika kwake ili akupelekeshe, mpotezee tena ogopa wanaojifanya walokole
Jibu ni hili ...asipofata huu ushauri ataleta uzi tena hapa sio muda
 
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana.
Kama unamhitaji kweli na una malengo nae jifanye huna time nae ila usiache kujibu sms zake hata 1 tena jibu kwa umakini wa hali ya juu usikurupuke (uwe kama una msimamo flani hivi) , endelea kufuata mishe zako na usiache kumchangia utaona kinachokuja kutokea.
 
Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
Ushauri murua kabisa huu asipokaza fuvu lake[emoji4]
 
Ingekua mm hilo jibu lingetosha kufuta namba yake, akuchukulie kama kaka kwani wewe huna dada hata upande wa ukoo??
Anakuchora tu ili aone kama umekamatika kwake ili akupelekeshe, mpotezee tena ogopa wanaojifanya walokole
Wanawake always wanatry kukucontrol from the first day unamuapproach.

Ukijichanganya ukalegeza sauti,
ukawii kutangaziwa umelishwa limbwata.
 
Huyu Ni waleee wanaopenda mideko na mabembelezooo

Ila anakutaka Sana
 
Mtoto mbona ameshakuelewa huyo na ombi lako ameshalipitisha, sasa unapanic nini?!
 
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana.
Mkuu usipende kuamini watu wa dini, kuna uwezekano huyu mdada alikuwa fuska sana huko nyuma na hana tena soko kwa sasa hivyo anakimbilia kanisani kutafuta wajinga awachezee akili. Anakupa majibu kama haya kwa sababu wewe si target yake. Ogopa sana mwanamke anayeshabikia sana dini kwani unaweza kuta wengi wao ni wachawi, mafuska wastaafu, majinamizi ya talaka, wezi wa fadhila. Usiwaamini hata kidogo.
 
Ehee Ameisha!

We endelea kucheza kwenye 18 zake zile pasi fupifupi na chenga za maudhi kama za Messi, usipige tena shuti golini.

Ni suala la muda tu ye mwenyewe atakuja kukukaba ,akikugusa tu unajiangusha unagalagala kama Ronaldo.

Refa akifanya yake,ni wewe tu kipa ameshauza mechi!
 
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana.

Juzi kati nikaamua kumtingisha kidogo nikamwambia ndoto zangu nikuja kumuoa, bac mtoto akawaka mbaya akaongea vitu kibao mara ooh..akutegemea kama nitamwambia vitu kama hivo mara ooh..ananiheshim sana na ananichukulia kama kaka yake.

Nikaona mambo yasiwe mengi nkamwambia bac sawa nisamehe mi sikujua kama unanichukulia kama kaka yako basi wacha tuendelee kuwa kama kaka na dada. Dem akujibu text ila asubuhi akanichek ujumbe wake upo chini hapa👇🏻👇🏻.
Sasa wakuu mi nimeshindwa kumuelewa huyu mtoto anamaanisha nini na kipi nifanye kama mtu akikujibu hv.

View attachment 1975158
Aseee
 
Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
Miss aishi Miss Natafuta
 
Back
Top Bottom