Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mwambie aje akujulie hali ila andaa condom mana huwezi kujuaSawa mkuu ila kunichek ananichek everyday na hata leo alipanga kuja kuniona coz kiafya siko njema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aje akujulie hali ila andaa condom mana huwezi kujuaSawa mkuu ila kunichek ananichek everyday na hata leo alipanga kuja kuniona coz kiafya siko njema sana
Kwa hali niliyonayo cwez fanya hicho kitendo kwakweliMwambie aje akujulie hali ila andaa condom mana huwezi kujua
Hapana mi nipo cnza mkuuTaratibu ya nini wakati huyo mdada anakusuka ukamatike uwe kolo wake. Au unaishi mbwinde ambapo akitokea mdada mzuri vijana wote mnampapatikia.
Kwahy huo ugonjwa unakufanya ushindwe kusimamisha.? Bc pole sanaKwa hali niliyonayo cwez fanya hicho kitendo kwakweli
Kuna wadau wana mbinu za pabl0 esc0baMpelekee zawadi ya bible na ki memo ndani umwambie ujumbe umetoka kwa Mungu
Nasimamisha kaka ila nimebanwa na msuli wa mguu balaa yani hata kutembea ni shida mkuuKwahy huo ugonjwa unakufanya ushindwe kusimamisha.? Bc pole sana
Pole boss, Mungu akupe wepesiNasimamisha kaka ila nimebanwa na msuli wa mguu balaa yani hata kutembea ni shida mkuu
Ahsante sana mkuu ngoja nipambane nimkule
Amina boss wanguPole boss, Mungu akupe wepesi
Ngonja nijitahidi nimkuleUyo mudada tayali kakubali tayali kazi kwako pambane umkule aisee
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana.
Juzi kati nikaamua kumtingisha kidogo nikamwambia ndoto zangu nikuja kumuoa, bac mtoto akawaka mbaya akaongea vitu kibao mara ooh..akutegemea kama nitamwambia vitu kama hivo mara ooh..ananiheshim sana na ananichukulia kama kaka yake.
Nikaona mambo yasiwe mengi nkamwambia bac sawa nisamehe mi sikujua kama unanichukulia kama kaka yako basi wacha tuendelee kuwa kama kaka na dada. Dem akujibu text ila asubuhi akanichek ujumbe wake upo chini hapa👇🏻👇🏻.
Sasa wakuu mi nimeshindwa kumuelewa huyu mtoto anamaanisha nini na kipi nifanye kama mtu akikujibu hv.
View attachment 1975158
[/QUOT. Hata mm nlijiwa ivo ivo mkuu sema bado sijawa serious nae...nafikir wa aina hyo unatakiwa uende nae taratiibu
Wenzako unawashauri lakini yako sasa..[emoji23]Usimfatilie kata mawasiliano akija kukuuliza mwambie we ukimuona humuoni Kama dada bali mpenzi na hiyo nafasi ya upenzi yeye kaikataa hivyo unaumia na roho yako!.. hili jibu usilitoe kwa haraka muache Kama anafanya kautafiti we mdirect tu then akifika unapotaka ndo umwambie ila usiwe boya sasa.. akikupa jibu urudi Tena Sasa ukakosee ukikosea jibatize jina la Karungu yeye.
Si Kama wewe tu ulivyonifanyia..😎Wenzako unawashauri lakini yako sasa..[emoji23]
😂😂😂😂 umenichekesha sana mkuuKwa gia ukio ingia nayo Kama hujajipanga kimaisha achana nae ..kabla mambo hayajawa mengi .
Kwa gia ulio ingia nayo huyo ukigusa tu imo na kugandwa juu.
Kifupi amesha kukubalia Kama mume mtarajiwa sio kupozana vikojoleo [emoji38][emoji38] hapo pana mimba au kuoa kilazima
Kazi kwako