Nimemtongoza kanijibu ananichukulia kama kaka yake

Taratibu ya nini wakati huyo mdada anakusuka ukamatike uwe kolo wake. Au unaishi mbwinde ambapo akitokea mdada mzuri vijana wote mnampapatikia.
Hapana mi nipo cnza mkuu
 
Uyo mdada tayali kakubali tayali kazi kwako pambane umkule aisee
 
Ha
 
Wenzako unawashauri lakini yako sasa..[emoji23]
 
Kwa gia ukio ingia nayo Kama hujajipanga kimaisha achana nae ..kabla mambo hayajawa mengi .

Kwa gia ulio ingia nayo huyo ukigusa tu imo na kugandwa juu.

Kifupi amesha kukubalia Kama mume mtarajiwa sio kupozana vikojoleo [emoji38][emoji38] hapo pana mimba au kuoa kilazima


Kazi kwako
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umenichekesha sana mkuu
 
Alikuwa na bwana mwingine na akaona utamharibia ndio maana aliwaka

Ushauri

Kama unataka mzigo punguza mawasiliano ila uwe unamcheck mara chache na mazungumzo yasiwe mengi
Akikutumia msg chelewa kujibu
Mwisho atakuletea dudu mwenyewe ufanye unachotamani

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…