Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
Daaah poa poa mkuu ngoja kesho nimtext SMS za mapenziDah kutongoza ni ufwala sana[emoji1787]
Kaelewa huyo, sasa usije kumuulizaa tena kamwee kama amekubali, we anza kufanya vitendo kama vya mpenz wako
Hongera sana dogo umeambana dhidi ya udomo zegeWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Sawa mamaanguHuyu mleta mada nafkiri atakuwa kijana wa 20's... JF kadri siku zinavyozidi kusonga unakuwa mtandao wa watu wa hovyo tu!
Eti dogo anatongozana na mabeki tatu wa kitaa analeta screenahot humu. Kuandika kwenyewe hujui! Kutogoza huwezi yaan tabu tupu! Dahh!
Uko level gani chuoni bwana mdogo?!... Cheti, diploma au ndo umemaliza Form-four?! [emoji848][emoji848][emoji848]
Kha! Oneni huyu mtoto 😃😃😃😅Sawa mamaangu
We falla sana unaanza na samahani alikuona unamuogopaWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Wanawake wengi huwa hawasemi ndiyo ila matendo yao huonesha ndiyo km amekubali.Kaka swaga ziliisha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Duuuh kaka ww nomaaaWanawake wengi huwa hawasemi ndiyo ila matendo yao huonesha ndiyo km amekubali.
Hapo cha kushangaza napo utaomba mchezo. Mm demu nikimtongoza nikaona anaeleweka hata km hajasema huyo namuweka km mke wangu. Huwa siombi mchezo. Nashika nakula
KwannWe falla sana unaanza na samahani alikuona unamuogopa
Naheshimiana nae sana tatizoYou can't be serious hata Mimi ningekwambia nimeielewa[emoji1787] eti NAINA KAMA NAKUPENDA HIVI [emoji1787] that means you're not sure with what you feel
Demu akikubali tayari ashakuwa mke. Hapo muite gheto mpige story, apike. Akimalizà shika mkono weka kitandani. Piga mamboDuuuh kaka ww nomaaa
Poa poa kaka ngoja kesho nianze michakatoDemu akikubali tayari ashakuwa mke. Hapo muite gheto mpige story, apike. Akimalizà shika mkono weka kitandani. Piga mambo
Kujieleza sana ni kiashirio kuwa huna pesa ila amesema ameelewaWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Sawa sawaKujieleza sana ni kiashirio kuwa huna pesa ila amesema ameelewa
Daaah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kinachofuata [emoji116]
Mapenzi yataniua, bora nitafute pesa nianze jishaua,
Mahabaaa yataniua (yatani-kili)