kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
- Thread starter
- #61
[emoji23][emoji23][emoji23]duh mlokole tena sa utatia lini mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]duh mlokole tena sa utatia lini mzee
Ni Demu ninaeshimiana nae sana tuna ukaribu Wa miezi miwili nampenda kinoma ila Jana ndio nimemtongoza, mkuu kuna mda unamtongoza mtu unaeshimiana nae kinyonge sana unaogopa kuaribuKwann unaomba msamaha?
Roho mbaya tu hizo inamaana huoni mwamba alivyotiririkaYou can't be serious hata Mimi ningekwambia nimeielewa[emoji1787] eti NAINA KAMA NAKUPENDA HIVI [emoji1787] that means you're not sure with what you feel
Anamaanisha kuwa ameelewa wewe ni mgonjwa wa akili na umetoroka mirembe hivi karibuni.Ndio kamaanisha nn?
[emoji23]Anamaanisha kuwa ameelewa wewe ni mgonjwa wa akili.
Huyo kukubali ila yupo katikati, namaanisha kakubali kwa %chache ili asikupoteze,kwanza wakati akifanya chaguzi zake, huyo ana mtu mwingine ila watakuwa hawapo kwenye maelewano mazuri, omba Mungu wasielewane ndio utampata, vinginevyo hapo bado pagumu.Duuuuh kwahyo kakubali hau miyayusho?[emoji848][emoji848]
Kama umeweza kudumu na K7 hivyo Huyo binti kapata mume kwa kweli.Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Hatua ya pili ya kumwaga mifwezaKakuelewa.
Nenda hatua ya pili sasa
jiandae kuhudumia sasa, ushakubaliwaWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471