Nimemtongoza kanijibu hivi, nifanyaje?

Nimemtongoza kanijibu hivi, nifanyaje?

Kwamba "NAONA KAMA NAKUPENDA HIV" WTF

Oyaa Afu siku hizi atu subiri jibu kila mda uanze kumuulzq jbu langu vipi, tusha toka uko zamani sana..leo anza kumuita babe na majina ya kimahaba una sikia
 
Amekuelewa ila kwa hofu uliyonayo na kutokujiamini unaweza kufeli.
 
Duuuuh kwahyo kakubali hau miyayusho?[emoji848][emoji848]
Huyo kukubali ila yupo katikati, namaanisha kakubali kwa %chache ili asikupoteze,kwanza wakati akifanya chaguzi zake, huyo ana mtu mwingine ila watakuwa hawapo kwenye maelewano mazuri, omba Mungu wasielewane ndio utampata, vinginevyo hapo bado pagumu.
 
Unabahati kakujibu hata hivyo mwingine angemute tuu sasa hapo ndio ungetamani iyo sms ukaifute kwenye simu yake asiione[emoji16][emoji16], mwanamke muombe mtoke out kama anakuheshimu hawezi kuchomoa tafuta kiwanja kitulivu mpeleke funguka ya moyoni live.
 
Back
Top Bottom