Nimemuacha mkurya rasmi

Mwanaume wa Kisukuma utazingua weee na viingereza vyako ye anakuangalia tu maana huwa wanapenda mazima. Sasa wewe jiringishe ringishe siku akija kutema bungo hutaamini.

Yes, maisha ni lazima yaendelee....πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Mwanaume wa Kisukuma utazingua weee na viingereza vyako ye anakuangalia tu maana huwa wanapenda mazima. Sasa wewe jiringishe ringishe siku akija kutema bungo hutaamini.

Yes, maisha ni lazima yaendelee....πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ


Kwa kweli nawakubali mno kwa misimamo ya hivyo.
Keep it up πŸ‘
 
Wanaume wanaojielewa hata awe lofa kiasi gani hakubali kuwa chini ya mwanamke.
Hata awe anapitia kipindi ambacho hana kazi wala kipato hatakibali kutawaliwa na mwanamke.
Hata mwanamke awe na kipato kikubwa kumzidi hakubali abadani kuuza heshima na nafasi ya uanaume wakeπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ

Hivyo ndipo inavyopaswa kiwa na nyumba ya hivyo ambayo Mwanaume ni kichwa anatawala baraka huwa hazipungui kuliko kinyume chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…