Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asipotoa yeye wenzake watamsaidia
Bei ya kunyoa pale unaijua...!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona staili sio mbaya. Pambana tuu umpe ndugu yangu maana asije akapewa na JIRANI ukajikuta unarudi JF kwa machungu ya kutaka kujitundika.
Kunyoa kwa 60000 ? Kuna nini cha ziada au ni status !!25,000 -30,000 watu hawajui tu kunyoa ni gharama kuliko kusuka [emoji28][emoji28]hapo bado hujaenda kwa kina didy expert kunyoa 60,000- 100,000 hapo hujanunua mafuta ya nywele na spray
Kunyoa shingapi[emoji23][emoji23][emoji23].25,000 -30,000 watu hawajui tu kunyoa ni gharama kuliko kusuka [emoji28][emoji28]hapo bado hujaenda kwa kina didy expert kunyoa 60,000- 100,000 hapo hujanunua mafuta ya nywele na spray
Sio akili za waawake...hata mwanaume ukimtendea tofauto na anavyotaka matokeo yatakuwa hayohayo we vipi bwanaUtata unaanzaga pale unapo mforcre mtu afanye Jambo ambalo halitaki, kwa akili za wanawake hiyo unaweza kuwa sababu tosha ya Cha kuchepuka
Amna raha kama mwanamke kubana nywele kifagioKwa kweli, kama ni za miaka kumi obviously zitakua ndefu na kama ni relaxed hair hana ata shida maybe muda wa kuretouch ukikaribia ndo atake kusuka
Mkuu jipange kisaikolojia, atakuja na brazilian hair huwajui hao, utapagawa na kuanza kupiga mayowe,nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka,
Ni gharama kama unaenda kwa hao uliowataja. Akina Hamisi huku mtaani wananyoa vizuri tu25,000 -30,000 watu hawajui tu kunyoa ni gharama kuliko kusuka [emoji28][emoji28]hapo bado hujaenda kwa kina didy expert kunyoa 60,000- 100,000 hapo hujanunua mafuta ya nywele na spray
Kwa kichwa gani?? Kama boga la uvinza😂😂😂😂jokesHiyo twende kilioni ni buku mbili,shida ya hizi familia ni kupata mtu atakaye kuelewa nywele za miaka kumi unashindwa kuziundia staili mbalimbali ambazo hazitumii gharama?
Binafsi nywele ya mkono siwezi kuisuka nkatembea nayo naona kama kichwa sio changu tena
Yaani huwa sielewi kabisa yaani nkisuka ya mkono ujue nataka nywele ipumue na nkiwa natoka nje ni mwendo wa virembaKwa kichwa gani?? Kama boga la uvinza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jokes
Pole ....Ila inategemea na kichwa cha MTU Tu......wengine nywele tano Tu balaaa bichwa limenyooka kama kioo cha TV flatYaani huwa sielewi kabisa yaani nkisuka ya mkono ujue nataka nywele ipumue na nkiwa natoka nje ni mwendo wa viremba
Mmh sio kwa nywele za mkono shida na mmewangu namjua yaani ntasemwa kila saa,utasikia ndo maana umesuka twende kilioni nani anataka sasaPole ....Ila inategemea na kichwa cha MTU Tu......wengine nywele tano Tu balaaa bichwa limenyooka kama kioo cha TV flat