Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,290
wakati unampata ulimkuta anasukua au ananyoa? pambana Mkuu ukilegea soon utakuja na thread hapa unachapiwa mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunyoa kwa 60000 ? Kuna nini cha ziada au ni status !!
Kunyoa shingapi[emoji23][emoji23][emoji23].
Sio buku mbili jero jamani?
Amna raha kama mwanamke kubana nywele kifagio
Ni gharama kama unaenda kwa hao uliowataja. Akina Hamisi huku mtaani wananyoa vizuri tu
Upo sahihi kwa namna fulani Ila kwenye Mambo madogo madogo Kama hili la hair style wanaume wengi ni disminderSio akili za waawake...hata mwanaume ukimtendea tofauto na anavyotaka matokeo yatakuwa hayohayo we vipi bwana
Huku kwetu buku tuKunyoa shingapi[emoji23][emoji23][emoji23].
Sio buku mbili jero jamani?
Sijui kwanini lakini wanawake wanaosuka wapo sensitive sana kwenye suala la nywele zao. Mimi pia mpenzi wangu alikataaga kubadilisha mtindo wa kusuka ili kusave garama, yupo radhi asile ila asuke vizuriKwema ndugu zangu watanganyika?
Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa,nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka,akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka 10 kuzifikisha hapo zilipofikia hivyo hatoweza kuzinyoa na akaongezea kuwa akinyoa yeye huwa ana kichwa kibaya hivyo hatokua comfortable.
Basi mimi nikajaribu kupitia kwenye baadhi ya pages za wadada wenye saloon huko Instagram nikaja na pendekezo moja kuwa Wife awe anasuka style flani hivi ya nywele ambayo ni affordable kwani ni elfu 5 tu.ila mwenzangu nilipomshirikisha hivyo akaishia kunisunya na kunibinulia midomo kuwa hayuko tayari.
mpaka sasa kaninunia.ila mimi msimamo wangu uko pale pale sitotoa zaidi ya elfu 5 ya kusukia.
Asanteni
View attachment 2044854
Sio kweli na mwenye kuamua kuwa hili jambo kubwa au dogo ni yule anayetendewa. Kuna mambo mengi ambayo wanawake wanayafanya wakiamini ni madogo lakini yanawagharimu mahusiano yaoUpo sahihi kwa namna fulani Ila kwenye Mambo madogo madogo Kama hili la hair style wanaume wengi ni disminder
Hauna chawa kwel mkuu?Hiyo kwangu safi sana, hiyo 5k naiweka kwa miezi mitatu ifike 15k ndo niende saluni ku repair dreads zangu..na nisivyopenda kuvutwavutwa kichwa!! In the mean time utaishi na chizi fresh kwa miezi mitatu.
(NB: sikubaliani kuwa nywele zetu ni kama machizi)
View attachment 2044936
😂Zinaoshwa mkuu...Hauna chawa kwel mkuu?
Maana sio kwa huo mzigo kichwani.
Tena mawigi ndio yanasevu bajeti zaidi maana lenyewe garama ipo kwenye kulinunua tu baada ya hapo ni mseleleko mwaka mzima [emoji38][emoji38][emoji38] yaani mkeo akiwa nayo at least matano hivi ...ndio Basi tenaNje unavutiwa Na wanaovaa mawigi
ila ukiweka wigi ndo unaona chako?? ahahaha wadada asee.Hiyo twende kilioni ni buku mbili,shida ya hizi familia ni kupata mtu atakaye kuelewa nywele za miaka kumi unashindwa kuziundia staili mbalimbali ambazo hazitumii gharama?
Binafsi nywele ya mkono siwezi kuisuka nkatembea nayo naona kama kichwa sio changu tena
Sivaagi mawigi nasuka nywele simple but nzuri zisizokera mfano dred hazikeri na sometime nasuka yebo ama nabana mitindo tofauti nywele yangu haina dawaila ukiweka wigi ndo unaona chako?? ahahaha wadada asee.