Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Hiyo nywele ni buku tu.
Weee jamani buku 5 kichwa hiyo buku ni wapi huko tuje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo nywele ni buku tu.
Bei za uswazi hizo. Wenzio tunacrochet kwa 7000 tu na Bei inapungua.Weee jamani buku 5 kichwa hiyo buku ni wapi huko tuje
Kunyoa pale elfu 45.Ni bora ungetembelea page ya cutting master labda ungemshawishi kunyoa.
Bei za uswazi hizo. Wenzio tunacrochet kwa 7000 tu na Bei inapungua.
Mpe hela aweke dred inapunguza gharamaKwema ndugu zangu watanganyika?
Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa,nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka,akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka 10 kuzifikisha hapo zilipofikia hivyo hatoweza kuzinyoa na akaongezea kuwa akinyoa yeye huwa ana kichwa kibaya hivyo hatokua comfortable.
Basi mimi nikajaribu kupitia kwenye baadhi ya pages za wadada wenye saloon huko Instagram nikaja na pendekezo moja kuwa Wife awe anasuka style flani hivi ya nywele ambayo ni affordable kwani ni elfu 5 tu.ila mwenzangu nilipomshirikisha hivyo akaishia kunisunya na kunibinulia midomo kuwa hayuko tayari.
mpaka sasa kaninunia.ila mimi msimamo wangu uko pale pale sitotoa zaidi ya elfu 5 ya kusukia.
Asanteni
View attachment 2044854
NakaziaNi bora ungetembelea page ya cutting master labda ungemshawishi kunyoa.
Ni sawa na kunyoa na mkasiiHuo msonyo uliustahili ndugu yangu sasa hiyo ina tofauti gani na kunyoa?
Ngoja nione namna kwa kweli..Basi we suka knotless utaenjoy haiumi hata kidogo
Ngoja nione namna kwa kweli..
Unanitisha sasa[emoji23][emoji23]Ila kukaa sasa[emoji28][emoji28][emoji28]
Juzi wife ananipa bei ya style aliyouliza kwenye page yao nikachoka, naambiwa elfu 70Bei ya kunyoa pale unaijua...!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamata mkasi,piga kipara huyo.asikuchoshe.
Mimi juzi kati kaniletea umbea flani wa huko saloon kwao, nikaita kinyozi home akamfanya hivyo yani.tena naona kapendeza tu.
View attachment 2045032
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada uzi unaofwata utakuwa ivi "" MKE WANGU HAOMBI HELA YA KUSUKIA ILA ANASUKA NA KUPENDEZA "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kila siku ninanyoa pale ninalipa 25,000 bila kuweka rangi.Kunyoa pale elfu 45.
Mimi kila siku ninanyoa pale ninalipa 25,000 bila kuweka rangi.
Nikiweka rangi 30,000.
Juzi wife ananipa bei ya style aliyouliza kwenye page yao nikachoka, naambiwa elfu 70
Nikamwambia atafute mbadala