Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Unanitisha sasa[emoji23][emoji23]
Kweli mi nilisuka size ya kawaida sio ndogo nilikaa kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa 11 jioni[emoji28][emoji28][emoji28]ila haziumi wala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanitisha sasa[emoji23][emoji23]
[emoji3590][emoji3590][emoji3590]View attachment 2045164
Hizi ndo style za 60k na kuendelea and mind you zinakaa wiki mbili tu [emoji28][emoji28]
Auntie na mie unipeleke nikanyoe nipendeze jaman [emoji7][emoji7][emoji7]Mimi kila siku ninanyoa pale ninalipa 25,000 bila kuweka rangi.
Nikiweka rangi 30,000.
Minaona hata hiyo ni hasara, ndiomaana nimemwambia anyoe tu...[emoji2955][emoji53]
Kuna jamaa aliingia sinza saloon alivomaliza kunyolewa wakadai 25000/= jamaa ikabidi atoe tu kinyongeKunyoa kwa 60000 ? Kuna nini cha ziada au ni status !!
25,000 -30,000 watu hawajui tu kunyoa ni gharama kuliko kusuka [emoji28][emoji28]hapo bado hujaenda kwa kina didy expert kunyoa 60,000- 100,000 hapo hujanunua mafuta ya nywele na spray
Nilishawahi kwenda kutengeneza nywele kwa diddy expert kipindi nanyoa
Bad luck sikuulizia bei mwanzoni
Nishamaliza ndio namwambia shingapi
Akanambia 70000 niliishiwa na nguvu mwilini ila niliitoa nikarud kwnye kusuka rasmi
Dooh pole, shukuru ulikua nayo sasa hapo ndo hauna una ka 25 kako kwenye pochi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hongera mkuu, yaelekea unakojolea patamu sio poa.Kamata mkasi,piga kipara huyo.asikuchoshe.
Mimi juzi kati kaniletea umbea flani wa huko saloon kwao, nikaita kinyozi home akamfanya hivyo yani.tena naona kapendeza tu.
View attachment 2045032
KawaidaHongera mkuu, yaelekea unakojolea patamu sio poa.
30000Bei ya kunyoa pale unaijua...!?
Tafta hela mkuu, 5000 ni ya kuoshea nywele saluni bado kusuka
Dah Mimi sikuhizi husuka za mkono napendeza staki mzigo kichwani, Sasa sijui ndio nazeeka maana zamani nilikuwa siwezi kama wewe, ila nowdays sipendi kusuka Rasta ukichangia na hili joto ndio haswaHiyo twende kilioni ni buku mbili,shida ya hizi familia ni kupata mtu atakaye kuelewa nywele za miaka kumi unashindwa kuziundia staili mbalimbali ambazo hazitumii gharama?
Binafsi nywele ya mkono siwezi kuisuka nkatembea nayo naona kama kichwa sio changu tena
Siku hizi unalipa 30,000 unakutana na watoto wakina "mchaichai" wanakuchezea nywele wanajifunza kunyoa.30000
Nilikua nayo wapi
Balance yangu ilikua 30k
Nilipiga simu kuomba msaada mana maji yalikua yamenifika hapa