IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Acha ujinga. Am a man. Nina German shepherds wawili na paka mmoja.Kumbe ww sio Mwana ni Demu sikujuaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga. Am a man. Nina German shepherds wawili na paka mmoja.Kumbe ww sio Mwana ni Demu sikujuaga
Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .
Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭
Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .
Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila
Aa sawa Mzee.Acha ujinga. Am a man. Nina German shepherds wawili na paka mmoja.
Paka dume ndo tabia zao, wewe subiri atarudi mshahara ukiisha ila usisahau kumpima magonjwa..!!Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .
Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭
Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .
Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila wao .
mkuu pole sana.Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .
Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭
Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .
Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila wao .
Paka dume ndo tabia zao, wewe subiri atarudi mshahara ukiisha ila usisahau kumpima magonjwa..!!
Mi nna kaumbwa jike kadogo naye jina lake Zuri 😍
Mrembo haswaah.!!
mkuu pole sana.Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .
Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭
Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .
Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila wao .
mkuu pole sana.
Inaomesha jinsi gani unawapenda pets wako.
Ila hao mbwa wako wanaoungana.na wengine kukubwekea wanasikitisha na kuchekesha pia😭.
Mbona wamekosa shukrani😀 kuhusu paka wako anaweza akarudi na vitoto
Tukuaminije kwamba umeona kweli bila clip?Nimejaribu kupandisha inaga ila pia nimeghairi nataka nijaribu kuiuza sehemu
😹😹😹 Ni yeye, umejificha Xmas ss hivi ndo umejitokeza kutuchora.!!Halafu wee ni lastborn au macho yangu hayaon vizuri😀.
😹😹😹Hao mbwa wake walichomfanyia sina hamu
Paka dume malaya sana relax atarudi mwenyeweNitafurahi kumuona paka wangu na wajukuu itakuwa ni raha Sana Ila mbwa ni wasaliti Sana