NIMEMUONA MUNGU MUUMBAJI (ELOHIM) KUPITIA PAKA WANGU

NIMEMUONA MUNGU MUUMBAJI (ELOHIM) KUPITIA PAKA WANGU

Da Pri unazingua ujue, yaani huwaamini wakristo na bible yao, hapo hapo unatumia mfano wa kufikisha ujumbe wako kupitia hiyo hiyo bible 😹😹
 
Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .

Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭

Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .

Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila
 
Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .

Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭

Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .

Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila wao .
Paka dume ndo tabia zao, wewe subiri atarudi mshahara ukiisha ila usisahau kumpima magonjwa..!!

Mi nna kaumbwa jike kadogo naye jina lake Zuri 😍
Mrembo haswaah.!!
 
Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .

Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭

Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .

Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila wao .
mkuu pole sana.
Inaomesha jinsi gani unawapenda pets wako.

Ila hao mbwa wako wanaoungana.na wengine kukubwekea wanasikitisha na kuchekesha pia😭.
Mbona wamekosa shukrani😀 kuhusu paka wako anaweza akarudi na vitoto
 
Ananipitisha kwenye msongo mkubwa wa mawazo Ila naomba awe hai na arejee nyumbani ,namsubiri Sana hapa ni kwao
Paka dume ndo tabia zao, wewe subiri atarudi mshahara ukiisha ila usisahau kumpima magonjwa..!!

Mi nna kaumbwa jike kadogo naye jina lake Zuri 😍
Mrembo haswaah.!!
 
Mpenzi Pridah natamani na nimesoma habari yako kwa shauku labda useme paka amefanya nini ili na Mimi nijue maajabu ya paka mapya nisiyoyajua maana nawahusudu mno Hawa viumbe .

Lakini pia mwaka unaenda kuisha Sina Raha dada na mpenzi maana ni wiki sita nyuma mbwa wangu walihama kwangu wakahamia kwa jirani na Mara nyingi usiku nikirejea kutoka madhambuni na mbwa wangu wanashiriki na wengine kunibwekea na kunifukuza 😭😭

Sasa haitoshi Sasa ni wiki ya pili mpenzi paka wangu ,aitwaye Zuu ametoweka nyumbani simuoni ,nimeuliza kwa kila jirani wa karibu Ila hayupo hata mmoja aliyeweza kusema kamuona .

Najiuliza ameuawa ? Je nilifanya kosa gani asilopenda mpaka atoweke ? Je ameenda kwa majike atarejea hakika inaniuma naumaliza mwaka na machungu ya hawa ndugu ,rafiki na wanangu sijui mwaka mpya nitaishije bila wao .
mkuu pole sana.
Inaomesha jinsi gani unawapenda pets wako.

Ila hao mbwa wako wanaoungana.na wengine kukubwekea wanasikitisha na kuchekesha pia😭.
Mbona wamekosa shukrani😀 kuhusu paka wako anaweza akarudi na vitoto
 
Nitafurahi kumuona paka wangu na wajukuu itakuwa ni raha Sana Ila mbwa ni wasaliti Sana
mkuu pole sana.
Inaomesha jinsi gani unawapenda pets wako.

Ila hao mbwa wako wanaoungana.na wengine kukubwekea wanasikitisha na kuchekesha pia😭.
Mbona wamekosa shukrani😀 kuhusu paka wako anaweza akarudi na vitoto
 
Da Pri unazingua ujue, yaani huwaamini wakristo na bible yao, hapo hapo unatumia mfano wa kufikisha ujumbe wako kupitia hiyo hiyo bible 😹😹
Halafu wee ni lastborn au macho yangu hayaon vizuri😀.
 
Paka dume ndo tabia zao, wewe subiri atarudi mshahara ukiisha ila usisahau kumpima magonjwa..!!

Mi nna kaumbwa jike kadogo naye jina lake Zuri 😍
Mrembo haswaah.!!
Hao mbwa wake walichomfanyia sina hamu
 
Back
Top Bottom