Nimemuona mwana jf kitaa

Hujawahi taka nyonyolewa
ukaomba kujichemshia maji ya kunyonyolewa?

Wanyonyozi wengine wakorofi

Hahaha! Kongosho ujue kunyonyolewa kavu kavu bila hata kuchemshiwa maji inauma ati.. Ukiona wanalalama ujue wanatoa maumivu..lol
 
Utapona tu. Kaa chit chat, ukichoka nenda jokes. Ukicheka utapata nafuu.
Hivi wewe unaendesha gari gani? Ni lako au la kuazima?

mnanipa kampani kwa kweli!mimi nina limousine sasa hivi,lile hammer nishagawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…