mbona umeandika huku unatetemeka.
kuduu ndo nini?
kii bodi ina makorogesheni..
Mgonjwa hebu lala sasa.
natumia nguvu kubonyeza kii bodi..
utatuloweshea screen zetu kwa mijasho yako.
Mgonjwa hebu lala sasa.
punguza jazba, umenitemea mate bana...
unatupigia makelele unavyokoroma.
Zali la Mentali-Prof. J!hapana mimi mtoto wa fisad hio no zawad toka kwa dad nimezaliwa na kukulia kny pesa usnchukie lkn
hapana mimi mtoto wa fisad hio no zawad toka kwa dad nimezaliwa na kukulia kny pesa usnchukie lkn
Sijachukia ila mhn mhn!mpoleeee said:teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu
nimeipendajeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hii jamanikama ilivo kawaida ya wana jf kujifanya mwajua. Kaja na gxmia nimeenda na jeep version 2010 akanywea na kua mdogo kama vile sio kidume kilichokua cha jidai pm. Pole zake cku nyingne jpange kaka
Duh!kidume ana maneno laini anajifanya mstaarab hapa jamvin kama vile haendekezi ma binti alikuja kwa gia hio. jina lake matata sig yake ya kidhungu kaweka picha ya mtu maarufu anapendwa na wengi hata mm. mshamba na limbukeni. ngoja nikumbuke mengine.
Na wewe unaumwa? pole sana diaswahiba naumwa, niletee chips kuku nijaribu jaribu kula.
kuduu ndo nini?
ndioooooooooooo mpoleee ndiooooooooooooooooooooooo,safi sana kumuumbua huyo The Boss.....LOLS
Sio The Boss, yeye anatumia bodaboda au bajaj, sikumbuki vizuri. 🙂 (source: The Boss mwenyewe)Duh!
Karibu niseme ni The Boss kwasababu avatar yake nadhani inapendwa...Bawse ngoja nicheki signature yako kwanza lol!
kongosho ndo anasema eti ana duu. muulize vizuri but nakuonea huruma labda kama umezoea. Mia
natumia nguvu kubonyeza kii bodi..