sheria zinaruhusu nimtaje?
kwani Kongosho ni mwanamke???!?!
mimi kiatu niachovaa kina hadi AC YAANI NI FULL AUTOMATICUjue mie mtoto wa fisadi??..kwetu kuna tv mpaka chooni ati, Nikimwambia baba utapata shida sana...
huyo ni mpiga mbizi wa magufuliumeanza
ntakubeba mgongoni
nitokomee na wewe
ishu hapa ni una jeep au gx50?
sheria zinaruhusu nimtaje?
teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.
usimtaje bana, mkaushie..!
mpak leo huwezi tofautisha mweny gari na dereva?
humu ndani kuna utoto hadi basi..lol....
Tukuangushe tulikua tumekubeba?
nimekupenda bure! niljua nikurush tuma sred kama hii siwez kosa wachangiaj wa kumwaga povu kama ulivyoona Kongosho na Lizzy hawajaniangusha. teh teh teh.
Sorry lakini nia yangu ilikua nzuri tuu!!
Vijana wa siku hizi wameishiwa mistari...wanachojua ni kuwapiga kamba za nguvu ukiingia kwenye 18 wanawasha na kuishia.
Mkuu kuna sheria ya jf inasema heshimu ulio wakuta. nakuomba acha kushindana na dada yangu Lizzy. tuishi kama ndugu. size yako ni kongosho lakini naye anataka heshima. kwanini mnakua na visilaani kama wanafunzi wa bweni?. Usiongee maneno ya kumuudhi au kumuabisha mwenzako. siku nyingine utakula ban. ni hayo tu. Mia
utoto raha atii
hujasikia JD anatamani kuwa 'malaika?'
Una povu ndani ya sketi yako