Nimemuona mwana jf kitaa

Nimemuona mwana jf kitaa

teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.

Pole kama umesha mvulia chupi tayari
 
nimekupenda bure! niljua nikurush tuma sred kama hii siwez kosa wachangiaj wa kumwaga povu kama ulivyoona Kongosho na Lizzy hawajaniangusha. teh teh teh.

Mkuu kuna sheria ya jf inasema heshimu ulio wakuta. nakuomba acha kushindana na dada yangu Lizzy. tuishi kama ndugu. size yako ni kongosho lakini naye anataka heshima. kwanini mnakua na visilaani kama wanafunzi wa bweni?. Usiongee maneno ya kumuudhi au kumuabisha mwenzako. siku nyingine utakula ban. ni hayo tu. Mia
 
Vijana wa siku hizi wameishiwa mistari...wanachojua ni kuwapiga kamba za nguvu ukiingia kwenye 18 wanawasha na kuishia.
 
Sorry lakini nia yangu ilikua nzuri tuu!!

eeheh umeamua kujitaja kumbe ni wewe mtembeaji chacha kwa nn hukwenda na miguu na leso ya taulo kwa ajili ya kufuta majasho??? mh jamii forum inamambo lol

OMBI: IKITOKEA WANA JAMII FORUM WANAOANA BAADA YA KUCHUMBIANA HUMU JAMVINI NA KURIDHIANA AVATAR ZAO NA REAL WAKOJE NAOMBA HARUSI IBEBWE NA WANA JAMII FORUM KWA KWELI MAANA HII THREAD YA FUNGUA MWAKA LOL!!!
 
Vijana wa siku hizi wameishiwa mistari...wanachojua ni kuwapiga kamba za nguvu ukiingia kwenye 18 wanawasha na kuishia.

Na huyu demu tayari jamaa kaingia na usafiri wa kuazima kamchapa na kuchapa lapa
 
Mkuu kuna sheria ya jf inasema heshimu ulio wakuta. nakuomba acha kushindana na dada yangu Lizzy. tuishi kama ndugu. size yako ni kongosho lakini naye anataka heshima. kwanini mnakua na visilaani kama wanafunzi wa bweni?. Usiongee maneno ya kumuudhi au kumuabisha mwenzako. siku nyingine utakula ban. ni hayo tu. Mia

amendment namba ngapi na ya mwaka gani hii?
 
Back
Top Bottom