Nimemuona mwana jf kitaa

Nimemuona mwana jf kitaa

ha ha,
naona anajipanga upya
si unaona malengo yake mwaka huu ni kumjaza ulanzi mke wa mtu.

Huyu hatari sana! Hivi mabastola yake bado yapo?
Bishanga na juhudi zake zote kagonga mwamba!
 
Huyu hatari sana! Hivi mabastola yake bado yapo?
Bishanga na juhudi zake zote kagonga mwamba!
seriously, namtongoza yeye, kila kukicha ninaye,
na wanapeana hadi number siku hizi, .....namtongoza kweli kweli.

kama lesbian ataingia line tu, na nitampiga vidole kweli, wala simuachi walahi bilahi!!! mwanaharamu mie!
 
Huyu hatari sana! Hivi mabastola yake bado yapo?
Bishanga na juhudi zake zote kagonga mwamba!
kama lesbian atainia line tu, na nitampiga vidole kweli, wala simuachi walahi bilahi!!! mwanaharamu mie!
 
😛oa
hii thread mbona inafifia?
 
teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.

Mbona hizo ndo njia zitumikazo kitaa kuopoa totoz, na wanapenda sana hizo sifa, awe msomi au kabwela wote wanazolewa kwa njia hizo
 
Yaani,

Hivi kweli? Yaani Bila sababu? Gx100, dereva, signature ya kizungu, na Like ya eliza wa tegeta.

Will be back
 
kidume ana maneno laini anajifanya mstaarab hapa jamvin kama vile haendekezi ma binti alikuja kwa gia hio. jina lake matata sig yake ya kidhungu kaweka picha ya mtu maarufu anapendwa na wengi hata mm. mshamba na limbukeni. ngoja nikumbuke mengine.

Sio ''O**S'' huyo???? Eheheheh
 
Yaani,

Hivi kweli? Yaani Bila sababu? Gx100, dereva, signature ya kizungu, na Like ya eliza wa tegeta.

Will be back

Noma. Sie akina Corolla AE 100 za kuazima hatuna nafasi kwa binti huyu. Mpole please consider that
 
wanalo waambie ukweli nothing but the truth.
 
Back
Top Bottom