Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Madamme, nikutumie parcel kwa bodaboda ama basi lipi[emoji23][emoji23]

Yaan vinavyoongeaga humu utafikiri vina hela vyote[emoji706][emoji706] nani asiyejua majority ya families ni wanawake wanahudumia. Na kwa hela gani walizo nazo. Wanashupazaga shingooo. Eti kwakua unahudumiwa ndo iwe ticket ya kucheatiwa. Unyanyaswe umerishika kwakua mume anahudumia. Vijana wamekua mchelemchele kweli. Mngejua tunavyowadharau basi tu. Majukumu hamtaki mnataka maisha mazuri na sent tano hamna. Kazi kudanga tu. Kuhamisha kwa mke kupeleka kwa michepuko. Halaf malipo ni kumuumiza kwa hela zake na mapenz yale kwkao na maradhi juu. So suala la kuhudumia mukae kwa kutulia. Na mnalijua hilo.

Mnataka nani ahudumie familia? Au nyie ndo mumeolewa?
Punguza makasiriko, baba ndio kichwa cha familia bana always amiri jeshi mkuu! Umeolewa unaliwa na kuvishwa na kulishwa wewe na wanao sasa tabu za nini bana! We tulia acha kumpekua pekua mumeo mtaishi ila ukijitia FBi madhara yake ndo hayo!
 
Unatunzwa sasa huko ni kunyanyaswa mrembo! Ishi kwenye ndoa ukijua cha pekeako kaburi tu
Kwani mumesikia wengine hatuwezi jitunza? Mbona wapo wanawake wengi hawategemei kutunzwa na waume zao. Halafu mnapasqa kujua its not a favour ni jukumu lako. Na kama sivyo basi kwani kina shida gani kila mtu akaenda na njia yake.
 
Ni ujinga kama huu ndo wana kazi ya kutuambia sisi siyo wife materials. Na si kila jambo litokee mpaka uwe kwenye hiyo scenario. Wanapaswa kujua kila mtu ana standards na limits katika maisha yake. Let it be mtu ameolewa ama lah. Hauvumiliki ujinga ili uonekane mwnaanke bora hapana. Mwanamke bora ni pamoja na kujua bora yako. Tuna ndoto zetu kubwa sana za kutimiza. Hatupendi so called ndoa za kuchekupiana ndo ziwe sababu ya kuua ndoa zetu kila siku kwa vilio vya samaki mpaka tushondwe kuwaza na kujenga ndoto zetu. Kama kuwa submissive ndo mke bora basi miye sitaki. Mfumo dume unazidi kuharibu vijana wetu sana.
Yah kuwa submissive na kuacha kihere here! Tumerekebisha ibara ya kwanza ya kanuni za kuishi na mume nayo ni kuacha kiherehere cha kumpekua maana cha pekeako ni kaburi tu! Hilo tulikubaliana katika kikao cha mwisho mwaka jana😀!!!

Ishini kwa uaminifu msipekuane na hilo ndio neno la bwana!
 
Kwani mumesikia wengine hatuwezi jitunza? Mbona wapo wanawake wengi hawategemei kutunzwa na waume zao. Halafu mnapasqa kujua its not a favour ni jukumu lako. Na kama sivyo basi kwani kina shida gani kila mtu akaenda na njia yake.
Sio shida wala tatizo mnasumbuaga mkikaribia miaka 40 hapo! Na mahasira ya ajabu
 
Hivi hamna wanaume ambao hawachepuki? Inamaana hao wanawezaje na nyie mnashindwaje?

Mwanaume asiyechepuka utakuta ni wachache tu na sababu wanazo maalum, maana haya ni mambo ya kibayolojia, aidha atakua yuko busy mithili ya kufa mtu, kwamba yaani kazi na majukumu yanampa stress hana hizo hisia, wa aina hiyo utakuta hata kwake nyumbani hamtoshelezi mkewe, muda wote anazongwa na majukumu au anawza hela tu.

Wengine kunao, nguvu za kiume zimewapungukia, hata akiona mwanamke hapati hisia zozote, na kunao japo hawachepuki lakini wanateseka mbaya mno, kila siku wanapambana na vishawishi hadi inakua kama jela fulani hivi, wanavumilia na kujikaza sema tu hawajafikia ukingoni maana akifika tu ndio basi lazima aachie mavitu, nilikua kwenye hili kundi la mwisho, nikajikaza balaa na kuepuka kila aina ya vishawishi ila nilifika sehemu nikakamatwa shingoni na kuachia, hapakua na jinsi licha ya kwamba nampenda sana mke wangu.

kwamza kwa mimi hapa, yaani hamna mchepuko au mwanamke yeyote huko nje mtamu zaidi ya mke wangu, maana wote hao huko lazima nitumie kondomu, sasa hapo inapunguza mautamu, na kwamba kwa mke niko huru kwenda naye bila kondomu, kavu kavu na nisiogope, basi siku zote yeye ndiye namba one kwangu.....
 
Khee.. ndo kuthaminishwa hukk? Wengine wanaoa kwaajili umri umesoge, kupata nafasi za ajira hada kuwa promoted, wengine mashoga ili waonekane tu kamili etc. Wengine kukomoana. So hiyo siyo thamani. Jinsi munavyoiishi hiyo ndoa ndo thaman. Unanioa halaf uje kuninyanyada ndo kunithaminisha?
Kwa hali hii ya wanawake tulionao nafikiri itafikia wakati ndoa itakuwa ni mkataba wa kulea tu! Kila mtu akae kwake ila ada zilipwe watu wale tu! You are making things so complicated my darlings!
 
Hamtakiwi kutuelewa sababu hii haiwezekani, bali mnachotakiwa kufanya ni kutupenda na kutupenda tena baada ya hapo mnatakiwa kututreat vizuri....
Imeisha hiyo
Majukumu sindio kitu cha msingi mnasemaga wenyewe humu raha ya mwanaume akuhudumie! Maana mkiachiwa mpambane wenyewe mnaonaga mziki mnene mnaishia kulia lia hovyo, mkipigwa mkuyenge tu mapenzi motomoto mnalalamika ooh mwanaume suruali mara marioo simtaki! Mkipata wenye hali nzuri kiuchumi mnalalamika kwani majukumu ni kuhudumia nyumba tu? Sasa tuwaeleweje wenzetu😅😅😅? Mume unaye anakulisha na kukuvisha na kukutwanga mguu kati shida ipo wapi?
 
Yah kuwa submissive na kuacha kihere here! Tumerekebisha ibara ya kwanza ya kanuni za kuishi na mume nayo ni kuacha kiherehere cha kumpekua maana cha pekeako ni kaburi tu! Hilo tulikubaliana katika kikao cha mwisho mwaka jana[emoji3]!!!

Ishini kwa uaminifu msipekuane na hilo ndio neno la bwana!
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseee.. mutaendelea kuishi maisha ya kudanga danga ti hapa duniani. Siye waalaaa. Jamii imekuja kutulelea vijana wapuuzi sana. What a sad generation
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseee.. mutaendelea kuishi maisha ya kudanga danga ti hapa duniani. Siye waalaaa. Jamii imekuja kutulelea vijana wapuuzi sana. What a sad generation
Sisi ndio waume zenu mtake msitake tutazaa na watoto tutalea japo kibishi bishi ila mambo yatakwenda. Ni swala la muda tu mbona 😅
 
Tunasumbua nn wakati nyie ndo munahangaika mukishaenda age kuomba kuuguzwa na wake zenu mukishakula bata huko. Mm siuguzi kima yeyote mm
Utatuuguza tu maana habari yako itakuwa imekwisha sura inachuma kunde 😂😂😂
 
Kwa hali hii ya wanawake tulionao nafikiri itafikia wakati ndoa itakuwa ni mkataba wa kulea tu! Kila mtu akae kwake ila ada zilipwe watu wale tu! You are making things so complicated my darlings!
Kmmk[emoji23][emoji23] nimesoma hii reply kwa tone ya kinyonge sana. Kumbe mukikaziwa akili zinawakaa sawa. Mutadumu kwenye ndoa na wanawake wajingawajinga tu. Wale walioambiwa kuwa submissive ndo kila kitu. Ndoa ya cheti siitaki. Kwann tuishi fake kuwafurahisha walimwengu
 
Sisi ndio waume zenu mtake msitake tutazaa na watoto tutalea japo kibishi bishi ila mambo yatakwenda. Ni swala la muda tu mbona [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] naani kasemaaa. Sawa kuzaa tutazaa lkn siyo kuishi na wapumbavu wasokua na utashi. Wasionielewa mipaka yao na majukumu yao. Ndo maana mnazidi kuiondoa thaman ya uanaume inabaki ya uvulana
 
Hamtakiwi kutuelewa sababi hii haiwezekani, bali mnachotakiwa kufanya ni kutupenda na kutupenda tena baada ya hapo mnatakiwa kututreat vizuri....
Imeisha hiyo
Sawa mi nakupenda nakutreat vizuri ila hela za kuku spoil sina! Hapo tutaelewana kweli maana mapenzi mnataka na hela mnataka ila wanaotaka hela ni wengi kuliko mapenzi na ndio wanatuyumbisha sana😂😂😂 sokoni!
 
Utatuuguza tu maana habari yako itakuwa imekwisha sura inachuma kunde [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaaa... kwani sura ikichuma kunde ndo hakuna kibabu gololi zake zimeshaanguka hakinielewi? Kwanza nitakua na kiserengeti boy changu kinanisugua na mm napata raha
 
Macho hayana pazia hata mimi nikiona kizuri nakiangalia kuna watu kweli wamejaaliwa kudra zote za Mungu ,angalia kwa macho ikisha matamanio yako kamalizie kwa mkeo!

Hilo mbona hutendeka mara nyingi tu, angalia sana kuna siku mumeo anakuja nyumbani full minyege kisha ukimpa anakunyandua kama kachizika vile, jua hiyo siku amepitia mateso sana kwa hivyo vishawishi vya huko nje, ila ndio hivyo sio kila siku utapata fursa ya kumalizia kwa mke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaaa... kwani sura ikichuma kunde ndo hakuna kibabu gololi zake zimeshaanguka hakinielewi? Kwanza nitakua na kiserengeti boy changu kinanisugua na mm napata raha
Kiserengeti boy kitakuwa kinasuguliwa na serengeti girl! Upepo unabadilika fasta sahizi hii fashion itaisha 😂😂😂😂😂 inakuja fashion ya wapigania uhuru kwa waasisi wa chama tawala!

Kwako mwalim kashasha!
 
Hilo mbona hutendeka mara nyingi tu, angalia sana kuna siku mumeo anakuja nyumbani full minyege kisha ukimpa anakunyandua kama kachizika vile, jua hiyo siku amepitia mateso sana kwa hivyo vishawishi vya huko nje, ila ndio hivyo sio kila siku utapata fursa ya kumalizia kwa mke.
Hii comment hii inaishi moyoni mwangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222] na inakuaga safi sana. Kazi kazi tu. Ruka msambaaaaaaa....
 
Kiserengeti boy kitakuwa kinasuguliwa na serengeti girl! Upepo unabadilika fasta sahizi hii fashion itaisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inakuja fashion ya wapigania uhuru kwa waasisi wa chama tawala!

Kwako mwalim kashasha!
Na hapa ndo hamkubaligi mukipigwa comeback[emoji2222][emoji2222][emoji2222] hapo natafuta kivulana ama kijukuu cha bestfriend wako roho okuume vzr zaidi[emoji23][emoji23]
 
what for? i dont support kwenda je ya ndoa au kuchepuka ila vurugu za nini? unafikili kabla ya kukuoa alikuwa na wangapi, na wewe hata pengine sio mumeo ambae alikutoa bikira, but all in all hakuna haja ya vurugu, its both a sin before God and man, option ya mtu mume au mke kuchepuka ni moja pekee, DIVORCE period, mimi siku nikioa akichepuka divorce na mimi nitawambia nikichepuka anipe divorce, hakuna hata ya vita, vuugu matusi au nini, muachie huo ambae anachepuka nae awe mke wake au awe mume wake, period, i hope nimeeleweka
umeeleweka mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom