Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
daaah mama mchungaji traako moja tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu atakuwa lala1

Kwa mwandiko huu nitoshe ,,,,
 
So atajitahidi ili kuficha uchafu wake au ataacha na kurudi majeshi sijakuelewa
 
Usijali, siku ukimletea ngwengwe atajua tu. Kutokuamini kwa jamano haimaanishi kuwa halipo. Na anaweza asimroge ili akatafuta means ya kumtilia sumu. Huku kuna mchepuko ulinogewa ukamtumia mume vibaka, wakampiga na kitu kizito kichwani, alikuja kufa. Hata michepuko huwa inatamani ipindue meza iolewe yenyewe
Siamini hayo mambo ya kishirikina.
Ninachojali ni wife asijue lolote juu ya mchepuko. Na ana amani kwani hata simu zangu anazitumia muda wowote akitaka.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hata hueleweki
Ni vigumu kunielewa , Kwa kuwa hutaki kunielewa .

Mwenzako katenda vyema Kwa mumewe Ila wewe unamsagia kunguni tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake wabishi kama wewe huwa wembamba Sana au wanene Sana [emoji39][emoji39][emoji39]

Wahurumie wanaume
 
Vigezo na masharti vizingatiwe. WEAK MEN CAN'T HANDLE STRONF WOMEN.

We stand on what we believe. Being chubby ama slim has nothing to do with cheaters with their silly behaviours.
 

Hahaha!! Ingekua nasex kila niki-erect aisei uume wangu ungekua umeshakatika na kudondoka maana kwa siku linanyanyuka mara nyingi sana, huwa tunadindisha na kuvumilia hivyo hivyo tu siku inaisha, na ni kweli sio kila tunadindisha kisa tumeweka mawazo kwenye ngono, kuna wakati nakua sehemu niko busy kwenye kazi zangu wala sina mawazo ya sex ila ghafla kifaa kinanyanyuka chenyewe mpaka nakishangaa.

Lakini kama nilivyosema, sisi wanaume tumeumbwa wa kuvutiwa na muonekano wa wanawake, na kwa namna mnavyovaa mavazi yenu siku hizi mnatutesa sana tunawavumilia tu, tunajikaza sana kutokuchepuka ila uzalendo ukizidi inabidi tu maana kuna wakati kama mwanaume nafikishwa na hizo hisia mpaka akili zinanihama nakua kama msukule fulani hivi, kwanza upate mdada wa watu amekupania, kawaida wanawake hamtutongozi moja kwa moja ila mnafanya vijimambo fulani hivi kabla nije kujishtukia nipo kwenye kifua chako najihemea.

Mimi binafsi kama nilivyosema hapo awali, punyeto zilikua zinanisaidia sana licha ya kuwa na mke kwa nyumba, maana mama watoto hayupo tayari tufanye kila siku, sasa inabidi nayamaliza mweyewe kisiri bila hata ya yeye kujua. Nikimuomba agome, moja kwa moja naondoka kwenda kumalizia bafuni yanaisha tunalala maana siku yote mchana nimeshinda nikikumbana na vishawishi halafu mke naye ndio hiyo siku hayuko tayari.
 
Ndiyooo. Yaani ukipita mwenyewe na likitambi lako; mchepuko unachekaje na mashoga zake jinsi usivyoiweza kazi: ils mwenyewe ndiyo unapita unajimbafy hofyoooo
daaah mama mchungaji traako moja tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: BAK
Acha kujifariji wanaume Malaya hamna nguvu za kiume nwisho mwaishia kuwazalilisha wake zenu na michepuko kuwatia vidole tu
 
you should be able to show her that you can make a move anytime
Ndugu yangu labda uwe umemuokota kweli huyo mwanamke wa kumtishia nyau. Unahisi na yeye hawezi kuflirt au hana ubavu wa kumove on na mtu mwingine? Achana na mambo ya kuflirt, kwa sababu naamini ukikuta hayo kwa mwenzio roho itakukaa juu juu. Mnajitafutiaga presha za bureeee
 
Si mnasemaga ukikaa Nice guy unaboa eti😂
 
Sijui , lakini mpaka namuoa nilikuwa nina wengine ambao waliendelea kuwa michepuko.
Maisha yanaendelea.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…