Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Tena hizo roho zinapaa kabisa kuflirt sie ha ha ha....mkuki kwa nguruwe bwana!Ndugu yangu labda uwe umemuokota kweli huyo mwanamke wa kumtishia nyau. Unahisi na yeye hawezi kuflirt au hana ubavu wa kumove on na mtu mwingine? Achana na mambo ya kuflirt, kwa sababu naamini ukikuta hayo kwa mwenzio roho itakukaa juu juu. Mnajitafutiaga presha za bureeee
Yani ww mwanamke unastahili ulinzi kwa kwel...! Na picha yako iwekwe kwenye ofisi zote za serikaliKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Kwa binadamu mchunguTena hizo roho zinapaa kabisa kuflirt sie ha ha ha....mkuki kwa nguruwe bwana!
Si mnasemaga ukikaa Nice guy unaboa eti[emoji23]
Hujasema ila nikiwa nice guy utaona kubwa jinga hili linaboaπ π π janaume limezubaa hili... Hii huwa unasemwa pembeni sio usoni!Mimi sijasema[emoji38][emoji38][emoji38]
Dah.., kwahio mtu akivumilia maana yake hana kipato chake?Huyu mleta maada atakua hana kipato chake, kwao hali mbaya yeye ndo kaolewa na don, au alijibebesha mimba ili aolewe, au ana sura personal na km zimesoma sanaaa. Kwa kifupi ninaweza kusema hana maisha anaishi maisha ya huyo mwanaume. Endelea kuvumilia ila usisahau kuna chai angalia usije kuungua tu ukaacha watoto wanataabika kwa uzembe wako.
Usituwekee maneno mdomo, aisee.Nimecheka sana mkuu. Sasa ntafanyejee ndo kufa na kuzikana tenaa. Kwa ushahudi wa wanaume humu hakuna asiechepuka au tuseme wengi ni wahanga
Usituwekee maneno mdomo, aisee.
Wengine hatujawahi ona papuchao umbo lingine tunaijua moja tu ya home
acha umalaya mbwa wewe, wapi nimeandika alichofanya jamaa ni umalaika!?We nae ovyo ina maana usaliti aliofanya huyo Mwanaume ni Umalaika
Chunguza hilo swala ninalokwambia mwanamke asiyekua na kipato hana pa kwenda. Hata ulete mwanamke ndani atajifanya kuvumilia kwa ajili ya watoto kumbe hana lolote nina mifano hai kabisaaa.Dah.., kwahio mtu akivumilia maana yake hana kipato chake?
Kabisa kabisa ndo maana siwazi kuchepuka na mm coz ni kuzidisha ma
Kuvumilia n kuona kuwa hata kama ukumuacha huko unakokwenda hatakucheat , so n bora ukae tu hapo hapo ,pili watoto nacho n kigezo cha kuvumiliaChunguza hilo swala ninalokwambia mwanamke asiyekua na kipato hana pa kwenda. Hata ulete mwanamke ndani atajifanya kuvumilia kwa ajili ya watoto kumbe hana lolote nina mifano hai kabisaaa.
Aisee una nitukana kwa nini mkuu unifahamu kiasi cha kuniita mbwa na malaya kama unaona comments zangu hazikufurahishi usi Reply tusivunjiane heshima.acha umalaya mbwa wewe, wapi nimeandika alichofanya jamaa ni umalaika!?
πππKwahio huu ndio mchezo wenu kumbe usisite kunicheki ikifika wasaa huo!π