Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Huwajui wanaume wewe. Yawezekana bado mtoto. Sisi wanaume huwa hatukubali kushindwa, yaan ukitaka mwanaume akucheat mpaka ujiue basi mwaibishe ukimkamata ugoni, ukitaka aache basi hakikisha amejua kuwa umejua halafu chukulia poa, na jifanye wewe ndo mwenye makosa, wallah atakuogopa hatarNa wako wanaomwambia ukweli hapa ukiangalia. Ila majority kwakua wamejawa na uzinzi ndo wanammislead mwenzetu. I just feel so sorry for her coz she seems so innocent. Huruma sana. And maybe ndo denial stage. Unajua kuna namna mnaishi na mwenzako ukajua anakucheat inakua ngumu kuamini eh
Yeye anajibu na kushushua wanawake wenzake humu kwa vile Wana mwambia ukweli, hajui wengine wazoefu humu, maskini anataka kusifiwa na aaminishwe mumewe ha cheat loh I feel sorry for her loh.Na wako wanaomwambia ukweli hapa ukiangalia. Ila majority kwakua wamejawa na uzinzi ndo wanammislead mwenzetu. I just feel so sorry for her coz she seems so innocent. Huruma sana. And maybe ndo denial stage. Unajua kuna namna mnaishi na mwenzako ukajua anakucheat inakua ngumu kuamini eh
The strong woman never revenge, huo ndiyo tunaita some one is strongVigezo na masharti vizingatiwe. WEAK MEN CAN'T HANDLE STRONF WOMEN.
We stand on what we believe. Being chubby ama slim has nothing to do with cheaters with their silly behaviours.
Pole Sana usiumie Sana kama siyo Malaya wala haikuasili chochote msamehe endelea mbeleAisee una nitukana kwa nini mkuu unifahamu kiasi cha kuniita mbwa na malaya kama unaona comments zangu hazikufurahishi usi Reply tusivunjiane heshima.
Nalipewe jinaSanamu lako lijengwe juu kwenye daraja la Mfugale haraka sana.
Nitatoa nondo mbili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aisee!!Jamani nimemuuliza hapa muda sio mrf na kwa sbb niliscreen short msg so nikampa ushahidi. Ameshtuka kwanza na akasema why unasachi simu yangu mie nikamwambia kuhusu kusachiwa simu hilo halina mjadala mie si mkewe?
so nisishike simu kwa sbb gani? So nikataka kujua what happened huyo dada wana issue gani nae. Akasema ni kweli wana mazoea but not love affair maybe na km ingetokea ingekua sio kwa akili yake anasema huyo bi dada aliomba apewe hela ya biashara kwa malipo badae sasa naamuuliza malipo ya papuchi? kasema hapana. Na anasema alipoomba hela ya mtaji alimjibu kuwa ntakupa but akawa anapotezea. So ndo jana anamkumbushia,nilichomwambia bado sijaridhika na maelezo yake ni bora akawa muwazi zaidi kasema hivyo ndivyo ilivyokua. Amenihakikishia hata kama alitaka kumla amehairisha. Nimemwambia maradhi mengi asije niua aisee
Kifupi jamaa anamjua mkewe vizuri, kwahiyo wala hakutaka kujisumbua sana na majibu! Ameupiga mwingi mambo yakawa fresh!!!Hapo alipokuhakikishia hata kama alitaka kumla AMEAHIRISHA umeniacha hoi.
Kifupi jamaa anamjua mkewe vizuri, kwahiyo wala hakutaka kujisumbua sana na majibu! Ameupiga mwingi mambo yakawa fresh!!!
Nimejifikiria tu kama ndio ningekuwa mimi,Uko sawa kabisa. Kanishangaza sana alivyoandika kwamba mumewe kamjibu kwamba hata kama alikuwa anataka kumla KAAHIRISHA. 😂😂
Nimejifikiria tu kama ndio ningekuwa mimi,
Yani nimekuta hadi evidence halafu mtu aje na majibu mepesi hivi?? Huyu dada anaweza hata kuishi nyumba moja na michepuko ya mumewe na bado akawa na amani!
Hii kweli ni bahati😅Wanaume wengine wana bahati sana ya kupata mke kama huyu aliyejawa na huruma za hali ya juu kwa mumewe mzinzi.
Hii kweli ni bahati😅
Mimi nitatoa mafundiSanamu lako lijengwe juu kwenye daraja la Mfugale haraka sana.
Nitatoa nondo mbili
Wanawake hata ka mwanaume hasimamishi as long as unatoa vihela hauachwi ng'o in short huwa mnaenda kuzalilisha wenzi wenu huko nje kah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baharia at work [emoji23][emoji23][emoji23] intelijensia yako ni level ingine bro!
Hey lovely miss Pablo. I don't believe if you're still single. Wish to propose something here right now, no need of due process.Kwanza my wangu wewe ni yanga ama simba.?[emoji23] sema nikuambukize furaha sasa hv.
Okey, unakosea. Hakuna huruma kwa mjinga. U dont deserve ant of that shit. Ndo maisha aliyoyachagua. Kama ulikua ma shida alipaswa kukuadress. Kama mahitaji ni mengi kwa familia kwann akaongeze mizigo nje. Amejitakia mwenyewe. Utajikuta hata sometimes unachangia kipato muinuane kumbe jasho lako linahamishiwa kwa malaya huko nje. Sijaolewa ila naheshim sana wanandoa. Na naamini kujiengage na mwanandoa ninakua cheap sana. So huyo dada naamini pia lazima anajua kuna mke. Yaan nisivyopenda ujinga ningempa nafasi tutengane kbs kila mru aendw na life yake. Yaan of all things naogopa maradhi mimi pooh