Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Me niliwahi haki simu ya mke wangu baada ya kuona mabadiliko ghafla nikakuta anachati sana na wanaume nikamuliza akaleta jeuri nikapasua simu yake nikavunja laini nikamfukuzia kwao tangu mwaka 2018 na sijamrudisha mpaka sasa na nina mtoto nae mmoja wa miaka 5. Saivi nakula maisha tu hapa
 
Heshima yako kwake ndiyo imefanya mchepuko kupewa jibu hilo. Halafu mumeo mpole na mstaarabu sana asiyetaka kumkwaza mtu hata kama anajua jibu ni NO.

Kifupi hayupo tayari kugharamia sana mchepuko huo, ila hataki kutoka kappa. Huenda huyo mwanamke ndiye aliamza kulegeza masharti kabla mumeo hajatest vocal kama zina sumu.
 
Nikuulize kwanini unachepuka? Kwamba kuna sababu imesababisha uchepuke? Wewe haunijui vizuri.
Si nachepuka ili nipate uzoefu zaidi ili nikufadishe mke wangu shida nini hapo..?
Halafu ndio tumeambiwa tuoe mke mmoja lakini Mimi ni nani Kama bwana wa mbinguni ataniletea wanne! Siwezi kupinga amri ya alie mbinguni nitapinga ya hapa duniani tu..😁😜
 
Naomba nimuoe.mdogo wako kama unae..may b akawa na Gens kama zako..sipend wanawake wenye midomo kama chiriku
 
Sawa, ila sitoacha jambo lipite.
Wewe unadhani mimi huko sitongozwi na tuvijana vi-handsome? Na mimi nitakuletea uzoefu.
 
Kama unamjua vile. Ni mpole na mataratibu namuonea huruma maana maybe anaendeshwa huko kama gari bovu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…