Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Ewaaaaah, usipochepuka mbona mimi na wewe tutaenda sawa. Ila ukijidai hauridhiki na papuchi yangu huku unategemea mimi niridhike na nanilii yako, utafeli.
Sawasawa haina shida..😂
 
Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.
kawaida ya nyie wanawake wa pwani mnapenda kufundishana umalaya.
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
FT 3-0 tayar hyo mama..na magonjwa atakuletea tu
 
He he he he dada unaumwa malaria nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniudhiii. Napata hasira kwa niaba yako.

Ningemjib text "bado hujajua kumkatia viuno vizuri ongeza bidii na mimi mama nyuki nitatop up"

Unalaaje kizembe hv[emoji23][emoji23]
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Hivi wanawake wenzako kama wewe mumebakia wangapi huko store?
 
He he he he dada unaumwa malaria nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniudhiii. Napata hasira kwa niaba yako.

Ningemjib text "bado hujajua kumkatia viuno vizuri ongeza bidii na mimi mama nyuki nitatop up"

Unalaaje kizembe hv[emoji23][emoji23]
Asante[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukichepuka bila yeye kujua wakati wewe unajua yeye anachepuka nadhani wewe ndo utakuwa unajiumiza tu..why usifanye na yeye ajue unachepuka?
Ya yeye kutokujua ndio nzuri maana unafanya huku ukiendelea kumhukumu juu ya usaliti aliofanya. Anakosa amani nyumbani.
 
Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Kwanza kabisa mfanye ajue kuwa umejua. Hiyo ni hatua ya kwanza kwao kuachana. Ukishamfanya ajue kuwa umejua njoo tuongeze kinachofuata
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom