KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Basi yaishe mama natulia sichepuki sawa..?Sawa, ila sitoacha jambo lipite.
Wewe unadhani mimi huko sitongozwi na tuvijana vi-handsome? Na mimi nitakuletea uzoefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi yaishe mama natulia sichepuki sawa..?Sawa, ila sitoacha jambo lipite.
Wewe unadhani mimi huko sitongozwi na tuvijana vi-handsome? Na mimi nitakuletea uzoefu.
Akinituliza najidai nimeelewa. Ila asipokuwa makini atalea na watoto wasio wake.Ungetulizwa tu
Na bado anachepukaHyo unayoona hapo cha mtoto hahahah natania mkuu
Sasa timbwili la nini tena na usitoe msamaha kama mwenzakoHata mimi sitaki kumwacha. Niombe talaka ya nini?
Mmoja awe wangu ikifikia level hizoAkinituliza najidai nimeelewa. Ila asipokuwa makini atalea na watoto wasio wake.
maybe amekuzoea badilika the way uishivyo(kimahusiano zaidi), be corious usiridhike.Kabisa kabisa ndo maana siwazi kuchepuka na mm coz ni kuzidisha matatizo
Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madharaHabari mkuu? Ninakushauri cha kwanza kabisa mjuze mumeo kuwa umejua anachepuka na umsihi aache mara hii. Usiende kugombana na huyo mchepuko wake. Furahia ndoa!!!
Aisee ukimwambia Kua umeona na umefahamu kila kitu ila unampenda na unamhitaji bado daah katika uchawi namba moja huu ni wa kwanza, maana Jamaa atakuhandle tofauti na awali kabisa na atahitajidi mara zote kukuaminisha Kua anakupenda na ni muaminifu kwako trust me!Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Ewaaaaah, usipochepuka mbona mimi na wewe tutaenda sawa. Ila ukijidai hauridhiki na papuchi yangu huku unategemea mimi niridhike na nanilii yako, utafeli.Basi yaishe mama natulia sichepuki sawa..?
Ukichepuka bila yeye kujua wakati wewe unajua yeye anachepuka nadhani wewe ndo utakuwa unajiumiza tu..why usifanye na yeye ajue unachepuka?Kanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.Sasa timbwili la nini tena na usitoe msamaha kama mwenzako
I know..nilikuwa natania tu.Dah ni siri yangu maana kabila haliaakisi tabia bali tabia ni ya mtu mwenyewe mkuu
Akizingua, hata wewe nitakupa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmoja awe wangu ikifikia level hizo
Inabidi niwe karibu yakoAkizingua, hata wewe nitakupa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cajojo habari za siku nyingi! Unanikumbuka?Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Hiyo sentensi ya mwisho ina walakini,sio kweli.Nimecheka sana mkuu. Sasa ntafanyejee ndo kufa na kuzikana tenaa. Kwa ushahudi wa wanaume humu hakuna asiechepuka au tuseme wengi ni wahanga
Una siti ya pekee peponi iliotengenezwa kama Engish sofa! Nakusihi achana na simu ya mumeo na usimuulize chochote kuhusu hilo! Usije ukamuua na stress mze mwenzangu huyo striker sana!Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?