cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji3][emoji3][emoji3]ila wanaume huwa mna juhudi ya kutafta matatizo yanayo wanyima amani. I think wanaume huwa hampendi peaceSio wanaume tu, b'damu tuna asili ya kutafuta matatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]ila wanaume huwa mna juhudi ya kutafta matatizo yanayo wanyima amani. I think wanaume huwa hampendi peaceSio wanaume tu, b'damu tuna asili ya kutafuta matatizo.
Ushawahi kusalitiwa?Eeeh... hakuna kuishi kinyonge.. utajishusha ila mwenzako atakuburuza tu. Wajinga wajinga kama hawa si wa kukusumbua. I soo much loosw interest when i find out i am cheated.
Safi sanaKanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
Wewe ka Mimi kwa kweli,Akinituliza najidai nimeelewa. Ila asipokuwa makini atalea na watoto wasio wake.
Why not. Some bastards.Ushawahi kusalitiwa?
Huo mda wa kuomba na kukanyaga mafuta mchepuko anakuemdea Tanga na ndoa inakufa mazima. Chukua hatua mwambia aache ujinga kukaa na kusema utamuombea umekamilika Kila idara ni kujidaganya wanaume hufata sehemu wanakoridhika zaidi kuanzia kila kitu. Be careful na ngoja azae na watoto uletewe piaNdicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Hii si sawa mwalimu. Vita haijawahi kuwa suluhu ya matatizo huacha majuto.Kanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
hahaha![emoji3][emoji3][emoji3]ila wanaume huwa mna juhudi ya kutafta matatizo yanayo wanyima amani. I think wanaume huwa hampendi peace
Njoo tuyajenge kwa mapanaWawili, yeye na Mimi teh
Ili asikusahau hakikisha unampatia kitu Cha kipee, popote atakapoenda atakutana na vipya vizuri lakini Cha kwako atakimiss tuu.Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Yani jinsi nilivo na principles Zangu na nimezaa watoto tayari nadhani ningeruhusu ahamie kwa mchepuko tu Yani, kila mtu na hamsini zake naanza kujiandaa kwa kufanya Mambo yangu ya maendeleo bila kumshirikisha lohhahaha!
huu uzi ungekuhusu wewe ungefanyaje? maana wewe sio peace kabisa
kwani umemfumania?Yani jinsi nilivo na principles Zangu na nimezaa watoto tayari nadhani ningeruhusu ahamie kwa mchepuko tu Yani, kila mtu na hamsini zake naanza kujiandaa kwa kufanya Mambo yangu ya maendeleo bila kumshirikisha loh
Pole sana! Ukachukua hatua gani?Why not. Some bastards.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222] is this lady Mother Theresa, Our Lady of Fatimah or Rita wa Kashia?Huo mda wa kuomba na kukanyaga mafuta mchepuko anakuemdea Tanga na ndoa inakufa mazima. Chukua hatua mwambia aache ujinga kukaa na kusema utamuombea umekamilika Kila idara ni kujidaganya wanaume hufata sehemu wanakoridhika zaidi kuanzia kila kitu. Be careful na ngoja azae na watoto uletewe pia
Lazima nitajua tu ndio maana ndoani watu wanajilinda Sana lohkwani umemfumania?