Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Mama zetu walivumilia siku hizi changamoto ndogo tayari mnataka tuachane. Labda arudie kosa mara nyingi ntajua. hahahhahahaah
Umesema mama zetu walivumilia zama za ujinga hizo sio sikuhizi unavumilia na ngoma huo mfano wako ni irrelevant mie kabila langu wanawake kuzaa nje mtu ni ruksa tu, Sasa mvumilie wako Tena ni huyo umemjua
 
Huwajui wanaume Miss😂😂 hawa viumbe hata upande dirishani ufanye kama unaidondokea bado atatoka akatafute inayolala tu kama yule manzi wa Gwajima maana hizo zako atakuja kuziona kama vurugu tu
Sasa nini faida ya kuwa mchepuko?
Si inabidi afanye extra measurements kusecure nafasi? Hajapiga misamba vizuri. Ajitahidi kubinuka.
 
Ohooooo! We jiamini tu mchepuko unampa tigo kama KAWA. Usicheze na baadhi ya michepuko inapotaka kumdhibiti mume wa mtu.

Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
 
[emoji3][emoji3][emoji3] wanawake huwa wanateseka Sana waume hawawaridhishi chumbani hata na Mambo mengine wanavumilia kwelikweli eti hamu wa Peke Yao, wao wakiona k za wake zao zimekuwa mabwawa kwa kuzaa wanaenda kutafta tight pussy with chuchu saa sita huku wake wa ndoa wakizunguka kwenye maombi mara buldoza mara nabii suguye kumbe mumewe kafata sweet tight pussy wao wanalia tu nakuomba. Mwishowe ngoma hii hapa na watoto wa nje mume akifa kwa madawa ya michepuko migogoro ya mirathi, Ina maana wake wa ndoa kazi Yao ni kuwaombea waume wapate hela za kuhonga michepuko loh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i used to pray for these niggaz miaka hiyo nikiamini nina matatizo. The sooner i realised these niggaz aint loyal baasii i mind my own business and stay on my lane. Men do things intentionally.. si kwamba hawako aware hapaana. Its exactly anavyokutreat ndo anavyojisikia juu yako. Men will always be men. Kwanza mtu mwenye muda wa kushinda kwa mwampoo asubuhi mpk usiku hana kazi za kufanya. Mwenye kazi za kufanya huwezi mkuta hapo. Nani anataka ulcers kisa maombi na tatu kavu[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom